Jamaa anamfuatilia mke wangu

Jamaa anamfuatilia mke wangu

Jikaze moyo mkuu. Cha msingi unahitaji mkutano wote watatu mkiwepo. Mambo haya hamna haja ya kujificha ficha. Wagonganishe wote mtu tatu muwepo halafu mwaga sera umalize mzigo. Hekima iamue ndani ya moyo wako namna ya kupeleka ajenda za mkutano.
Ila muhimu sana kuaddress hili suala wote mkiwepo.
 
Shida ni uyo jamaa ndio ana matatizo kwa mke wako wala hana shida kikubwa fanya upate mawasiliano ya uyo chalii mwambie aache utoto mufanye maisha akileta usumbufu basi mkodie wauni alafu na vaseline wamwoneshe shuhuli pevu
 
MKUU HAPO HAUNA UJANJA MAHAWALA HUWA HAWAACHANI,UNAPOKUWA SAFARINI ATAKUWA ANAMPA KIDOGO APASHE KIPORO JAPO HATAKI KURUDIANA NAE
Cha muhimu kuwa mpole muendelee kuifaidi keki ya taifa pamoja
 
we jamaa unamuita mkeo SINGLE MAZA,,...ilhali mshazaaa......wacha dharau kwa mkeo....hata kama hajui unachati hapa.....ila unamchoma kwa silaha za sumu inayopenya taratibu mno...........tatizo hapo ni huyo mkeo...yeye ndio TATIZO KUU...kaa nae myaongee....uwe zaidi ya BABA,,,, yaani kama yule mnyama "NYEGERE",,,,,,,sbb mliamua kuoana, mkakubaliana.......mwambie sumu haionjwi.......no matter wana mtoto atafute suluhu ya hilo mapema na haraka, bila mzaha......mengine malizia mwenyewe.........isije kuwa bado wanakulana!!!! take care of your kids bro...
 
Shida ipo kwa mkeo kuweka ukaribu naye wakati aliachwa akiwa na mimba, hapo msimamo ni wamkeo hakuna mwingine hakuna cha kusema anang'ang'ania bali ni kichwa cha mkeo, hivi mtu nilieachana naye tena kwa maumivu naanzaje kwanza kumsikiliza? Mwambie mkeo tena kwa mkwara chochote kitakacho tokea baina yake na huyo tapeli wa mapenzi hutamwelewa atafungasha virago mara moja.
 
Kama anampenda sana ampe mtoto wake akamlee mwenyewe huko, na kama ataona shida amfuate, mwanaume kuwa na msimamo na nyie wanaume wasiku hizisijui mpoje mama zetu wanawalea vipi ?
 
Aisee!. Pole mtoa mada. Hii story inatupa darasa kwamba Kuchumbia binti mwenye mtoto uku Baba wa mtoto akiwa hai ni sawa na kuishi na mke wa mtu mwingine. Kuna siku watakuja kupasha kiporo au kutamani kurudiana
 
Na wewe anza kumfuatilia dada yake au mkewe,
Jino kwa jino mkuu, usikubali mkuu
 
Tengeneza mtego nenda na polisi.... Wamchape makofi adabu itamkaa pahala pake
 
Nina rafiki yangu alikupendana na mdada ambae ametoka kutengana na mwanaume wake.

Jamaa akaanza msumbua bi dada akiwa tayari anaishi na rafiki yangu. Rafiki yangu akawasiliana nae, jamaa akajitetea kuwa anafanya hivyo sababu anataka kujua hali ya watoto hakuna ubaya mwingine....

Mtoto wa kwanza ana miaka 6, wa pili ana mwaka na miezi. Jamaa akasubiria mtoto amalize muda wa kunyonya. Huku jamaa akisumbua sana. Mtoto alipotimiza miaka miwili na nusu, jamaa akaona huu ufala.

Jamaa alikuwa bado anaendelea kumsumbua bibie na kubembeleza. So jamaa akamwambia mwanamke awaandae watoto awapeleke kwa baba yao.

Wakaenda na house girl, jamaa akawapokea vizuri, yule dada akalala hapo hapo akiwa na watoto na house girl, walilala chumba tofauti na jamaa asubuhi jamaa akatoka na kwenda kazini akiahidi atarejea mchana mapema ili waketi na kuongea....

Alipoondoka tu yule bi dada akampa maagizo beki tatu kuwa awatazame watoto vizuri yeye anarejea. Akaondoka akarudi home kwake.

Jamaa kurejea anakuta bi dada hayupo na sim yake haipatikani, kumbe amebadili namba kabisa. Mshikaji akampigia mwanaume(aliomba namba kwa beki 3) alipoona hampati bi dada hewani.

Kumpigia jamaa na kujitambulisha jamaa akamwambia unataka nini, jamaa oooh mbona bibie amewaacha watoto na watoto wanahitaji malezi ya mama, akawambia ulikuwa unasumbua kutaka kujua kuhusu watoto. Haya hao hapo upo nao, usimsumbue tena huyu mwanamke sio mkeo tena, na kuhusu malezi hao watoto hawanyonyi tena ni wakubwa wanakula chakula cha kawaida.

So pambana na watoto wako ulee maana ulikuwa unasumbua kisa watoto haya hao hapo na wewe ni baba yao, lea damu yako. Kama hauwataki tuandikishiane kabisa na iwe ni makubaliano kuwa hautaki hao watoto tena, nitalea mimi, na tutarekodi hadi video ukikubaliana kabisa na haya masharti kuwa hautakuwa tena katika maisha yao.... La si hivyo, hao hapo lea watoto wako acha kusumbua mtu asiye kuhusu tena.....

Jamaa akawa wabaridi balaa...... Kurudisha watoto hawezi, kukaa nao bila mwanamke anaona amekomolewa...... Balaa akawa nalo....
 
Ukinunua Kiwanja Chenye Mgogoroo hata ukijengaa Gorofaa kuna sikuuu unawezaa ibomomoa yotee na hutaamini..!! Ukitakaa kuoaa single Maza hakikisha UMEONA KABURI LA MWANAUME ALIEMZALISHAAA...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom