😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 daaaaaah nimecheka kwa sauti,alifanywa nini huyo mtoto wa ilalaMwambie utamfanyizia kama alivyofanyiziwa Dully Sykes!
Mambo mengine yapo so easy hapo chukuwa line ya simu ya wife iweke kwenye simu yako. Chat na hilo jambazi nganganizi jifanye wewe ndio kama wife mpe appointment ya kukutana. Nenda na machali wako mkamateni mpeleke ghetto usimfire mpigeni mbrashi tu. Hatosumbua tena
Ndukiiiii![]()




Hahahaaa acha tu mkuu si unajua ukitembea na mke wa mtu wahuni wanavyofanya???😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 daaaaaah nimecheka kwa sauti,alifanywa nini huyo mtoto wa ilala
Ameltafuta na sasa amelipataTatizo lilianzia pale ulipokubali kuoa mwanamke mwenye mtoto bila kuona kaburi la baba wa mtoto
point ya msingi sana chukua hiiNunua bahasha weka weka mafuta yakiwa yameambatana na ujumbe unaosomeka "achana na mke wangu"
Halafu mtumie huyo jamaa
Single mum yeyote ni mke (mchumba) wa yule aliyemzalisha. Ilikuwaje ukakubali kuoa mke wa mtu?!!!Ni single mother wa mtoto mmoja, jamaa anamfuatilia sana akitaka warudiane lakini mke wangu amekataa kabisa ila jamaa hakati tamaa. Alimtelekeza toka akiwa na mimba miaka mitano imepita ndio amerudi na kuanza kumsumbua huyu mke wangu.
Mimi kazi zangu ni za kusafiri kwahiyo muda mwingine nakuwa sipo nyumbani, hata baada ya mke wangu mimi kuzaa naye watoto jamaa bado tu hakomi
Nifanyeje?
Kwani single dad hawasumbui mahusiano mapya? Au wao ni salama tuu?Single mum yeyote ni mke (mchumba) wa yule aliyemzalisha. Ilikuwaje ukakubali kuoa mke wa mtu?!!!
Wana nafuu maana ni rahisi kwa mwanaume aliyeachika kuoa fasta tu, tofauti na single mumKwani single dad hawasumbui mahusiano mapya? Au wao ni salama tuu?
Hata wao huwafuata wazazi wenzao hata kama wameachana, kusema anaoa fasta nikwasababu yeye ndiye mtafutaji mwanamke mpaka amlee mwanaye , na hao masingle mother wanapofuatwa na wazazi wenzao hao hao wanaume wanakuwa na wake zao huko lakini anakuja kwa mzazi mwenzie, duniani hakuna usawa kabisaWana nafuu maana ni rahisi kwa mwanaume aliyeachika kuoa fasta tu, tofauti na single mum
Well said..Mwanaume huwa hakazanii kurudi kwa mwanamke kama haonyeshwi matumaini.
Mkeo bado anampa huyo mtu wake ishara kuwa akimkazia anaweza kumpa access tena hata ya kuwa anafanya nae kisirisiri.
Mimi nawaambia sana akina dada wenzangu kuwa ukishakuwa na mtu wako ambaye yupo serious na wewe then acha na futa kabisa mazoea na wanaume wote ambao ulishawahi jihusisha nao. Futa namba zao, wablock na wakikutafuta kuwa mkali kama mbogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kucheka nyani uvune mabuaNi single mother wa mtoto mmoja, jamaa anamfuatilia sana akitaka warudiane lakini mke wangu amekataa kabisa ila jamaa hakati tamaa. Alimtelekeza toka akiwa na mimba miaka mitano imepita ndio amerudi na kuanza kumsumbua huyu mke wangu.
Mimi kazi zangu ni za kusafiri kwahiyo muda mwingine nakuwa sipo nyumbani, hata baada ya mke wangu mimi kuzaa naye watoto jamaa bado tu hakomi
Nifanyeje?
Utanilipa shillingi ngapi nikimshikisha adabu?Ni single mother wa mtoto mmoja, jamaa anamfuatilia sana akitaka warudiane lakini mke wangu amekataa kabisa ila jamaa hakati tamaa. Alimtelekeza toka akiwa na mimba miaka mitano imepita ndio amerudi na kuanza kumsumbua huyu mke wangu.
Mimi kazi zangu ni za kusafiri kwahiyo muda mwingine nakuwa sipo nyumbani, hata baada ya mke wangu mimi kuzaa naye watoto jamaa bado tu hakomi
Nifanyeje?