Jamiru
Member
- Aug 18, 2020
- 90
- 310
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ukizubaa uta chapiwa tu hapo huna ujanja..piga biti kaliii uyo jamaa kama vipi wekea mtego ajae site afu mpakeni tu ata mafuta ya kula tu then mmuache aende akirudia tena nishtue
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ukizubaa uta chapiwa tu hapo huna ujanja..piga biti kaliii uyo jamaa kama vipi wekea mtego ajae site afu mpakeni tu ata mafuta ya kula tu then mmuache aende akirudia tena nishtue
DahTatizo lilianzia pale ulipokubali kuoa mwanamke mwenye mtoto bila kuona kaburi la baba wa mtoto
Mtafute umkanye...... Atazidi kuleta mazoeaNi single mother wa mtoto mmoja, jamaa anamfuatilia sana akitaka warudiane lakini mke wangu amekataa kabisa ila jamaa hakati tamaa.
Alimtelekeza toka akiwa na mimba miaka mitano imepita ndio amerudi na kuanza kumsumbua huyu mke wangu.
Mimi kazi zangu ni za kusafiri kwahiyo muda mwingine nakuwa sipo nyumbani, hata baada ya mke wangu mimi kuzaa naye watoto jamaa bado tu hakomi
Nifanyeje?