Wakuu nnachoomba ni maelezo ya jinsi gani nifanye nipate kuskia simu za namba nyingine anapokuwa anapokea nami niwe naskia pia!
Why ufanye hivyo,hiyo naona unataka kufanya kwa mtu wako wa karibu, it means uwamifu umeisha, why ufanye hivyo na kujitakia maradhi??Mpige chini tu faster
Wakuu nnachoomba ni maelezo ya jinsi gani nifanye nipate kuskia simu za namba nyingine anapokuwa anapokea nami niwe naskia pia!
Wakuu nnachoomba ni maelezo ya jinsi gani nifanye nipate kuskia simu za namba nyingine anapokuwa anapokea nami niwe naskia pia!
Wakuu nnachoomba ni maelezo ya jinsi gani nifanye nipate kuskia simu za namba nyingine anapokuwa anapokea nami niwe naskia pia!
Hii inaitwa phone tapping na ni kosa la jinai baadhi ya nchi. Hata hivo zipo software unainstall katika simu mkeo,girlfriend,mtoto ambayo inakuwezesha kifatilia muzungumzo na sms anazopokea. Cell Phone Tapping Software, Get Information from targeted Phone