Hivi bado tu mko kwa Kapuya? Get over it and move on.
Naona uliumia sana kuona uliyekuwa unamtetea kafunguliwa faili la ubakaji. Msitetee hata mbwa, siku nyingine atakung'ata hata wewe.
Hivi bado tu mko kwa Kapuya? Get over it and move on.
Hivi bado tu mko kwa Kapuya? Get over it and move on.
puuuuuu la kichwa kwa muuungu.yule aliponda ile kichwa abarikiwe na mizimu.Kuna watu wanashabaha sana yani walibonda kile kichwa utadhani wanaua nyoka kifutu
Mob justice ndo mwongozo mzuri kwa nchi kama hii ya Tz!!!!
usiingie jf ukiwa umelewa.vigezo na masharti kuzingatiwa.hata kama cdm unaichukia si kila mada ni cdm mbona ccm mnaogopa hadi unyasi?nchi mmegawana bado makabidhiano waswasi wa nini.hapa mada ni kapuua cd iningiaje!inawezekana unacho kinena ni sawa ila uwe makini.
KATIKA KILE KINACHOONYESHA NGUVU YA FEDHA INAVYOWEZA KUFANYA KAZI DHIDI YA HAKI,JALADA LA UBAKAJI ALILOFUNGULIWA PROF KAPUYA PALE PLISI MAKO MAKUU INADAIWA LIMEYEYYUKA NA KUWAACHA WAPELELEZI WALIOKUWA WAKILIFUATILIA MIDOMO WAZI.
TAARIFA ZA NDANI YA JESHI HILO MAKAO MAKUU(HQ) ZINADAI KUWA JLADA HILO LILILOFUNGULIWA KWA MBWEMBWE NYINGI LIMETOWEKA NA HAIJULIKANI LIMEPELEKWA WAPI.
MNYETISHAJI WA KUTOKA IDARA YA MASIJALA ILIYOPO GHOROFA YA SITA NDANI YA JENGO LILE ANADAI FAILI LILE HALIKUWAHI KUFIKISHWA HUKO NA ANACHOJUA NI KWAMBA UCHUNGUZI WA SWALA HILO UMEFUNGWA NA HATA WAPELELEZI WALIOPWA JALADA LILE WAMEPEWA KAZI NYINGINE NA KUAMBIWA WAACHANAE NA SWALA LA KAPUYA HADI PALE watakapopewa maelekezo mengine.
KWAKUJUA AU KUTOKUJUA KINACHOENEDELEA MAKAO MAKUU YA POLISI,. KAPUYA AMADAIWA KUPITA MITAANI AKIJINADI KUWA AMEWAMALIZA WABAYA WAKE NA MAISHA YANAENDELEA KAMA KAWAIDA.
TAARIFA HIZI ZINAKUJA WAKATI TAYARI IMETANDA HOFU KUBWA KATIKA FAMILIA YA BINTI ANAEDAI KUBAKWA NA KAPUYA NA KUAMBUKIZWA UKIMWI.
TAARIFA ZINAELEZA KUWA BINTI HUYO AMEJIFICHA KATIKA NYUMBA YA NDUGU YAKE MMOJA HAPA JIJINI DAR(PANATAJWA) HKU AKIAHIDI KUJIUA KULIKO AKUTWE NA KISASI CHA KAPUYA ALIYEAHIDI KUWASHUGHULIKIA WOTE WANAOMCHAFUA.
TUSUBIRI TUONE.
Bazazi kapuya ,lakini hata akichomoa imemuharibia sana sifa yake kuanzia nyumbani kwake(family) hadi kitaifa nadhani katumia fedha nyingi sana kujisafisha na kashfa hii