Bazazi kapuya ,lakini hata akichomoa imemuharibia sana sifa yake kuanzia nyumbani kwake(family) hadi kitaifa nadhani katumia fedha nyingi sana kujisafisha na kashfa hii
Mh kama kweli Mkuu wa upelelezi+mkuu wa polisi mkoa nao mizigo.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Hamna shida, tutamshauri binti akafungue faili jipya.
Tiba
Tangu lini CD aliepiga picha za uchi akabakwa.
Jalada limetowekaje? walitafute hadi walipate wasilete mchezo
Halafu ile ishu ya Lema iliishaje?alisingiziwa kambaka Flora Lyimo UK!!
Bazazi kapuya ,lakini hata akichomoa imemuharibia sana sifa yake kuanzia nyumbani kwake(family) hadi kitaifa nadhani katumia fedha nyingi sana kujisafisha na kashfa hii
Mwenye jalada kasepa, jalada nalo likasepa....