Jakaya Mrisho Kikwete ni nani?

Jakaya Mrisho Kikwete ni nani?

naona roma katka wmbo wake wa viva amemquote kama MFISADI.
 
Rais wetu aliwahi kutoa onyo kuwa watu wasidanganyike na sura yake, wasidanganyike na tabasamu lake.

Nimekuwa nikimfuatilia kwa karibu sana toka alipotoa maneno hayo ili nifahamu sura yake kamili na maana ya tabasamu lake ila nimefeli, sijaambulia kitu.

Ndio maana leo naomba msaada kwa waliomfahamu vizuri, wapendwa; Jakaya Mrisho Kikwete ni nani?

1. Je, ni mwanamapinduzi au labda ni mwanamageuzi?

2. Je,ni mtu asieogopa kujaribu au ni mtu asiyejua anachojaribu?

3. Je,ni dicteta aliyejificha kwenye ngozi ya democrasia au ni mtu mwenye misimamo isioyumba?

4. Je, ni mtu msafi aliyezungukwa na waizi au ni mafia anayetumia mkono wa giza kufanya mambo yake?

5. Je, Magufuli ni zawadi ya Kikwete kwa Tanzania au ni toleo la pili la Kikwete?

Wadau nisaidieni kujua, Jakaya Mrisho Kikwete ni nani?

Waizi=Wezi
 
Rais wetu aliwahi kutoa onyo kuwa watu wasidanganyike na sura yake, wasidanganyike na tabasamu lake.

Nimekuwa nikimfuatilia kwa karibu sana toka alipotoa maneno hayo ili nifahamu sura yake kamili na maana ya tabasamu lake ila nimefeli, sijaambulia kitu.

Ndio maana leo naomba msaada kwa waliomfahamu vizuri, wapendwa; Jakaya Mrisho Kikwete ni nani?

1. Je, ni mwanamapinduzi au labda ni mwanamageuzi?

2. Je,ni mtu asieogopa kujaribu au ni mtu asiyejua anachojaribu?

3. Je,ni dicteta aliyejificha kwenye ngozi ya democrasia au ni mtu mwenye misimamo isioyumba?

4. Je, ni mtu msafi aliyezungukwa na waizi au ni mafia anayetumia mkono wa giza kufanya mambo yake?

5. Je, Magufuli ni zawadi ya Kikwete kwa Tanzania au ni toleo la pili la Kikwete?

Wadau nisaidieni kujua, Jakaya Mrisho Kikwete ni nani?
Mkuu kama ungeweza kupata mawsiliano na J.mnyika anamfahamu vizuri sana huyu jamaa.
 
Ni rais mwenye hotuba nzuri na ndefu lakini utekelezaji zero.
 
Mtikila kesha sepa ivo hatumsaidii kitu maana hana cha kujifunza tena! Wew ndio mpumbafu kwa kutaka tujadili wafu humu tuache wez wetu wa twiga,escrow na mauchafu mengine ya ccm
Duh! Hii mada ya kupuuzi sana. Wameacha kujadili masuala muhimu kama ajali ya mchungaji Mtikila wanajadili watu
 
Ni Mkwere Wa Pale Msoga.Hali Y A Serikali Na CCM Kwa Sasa Ndio Tafsiri Ya Kikwete
 
ni tolea la pili, kwan kwa hali iliyopo ni vigumu ccm kutuletea maendeleo tunayoyahitaji. Ikiwa pindi ipo madarakani ilikuwa hawez kufanya maamuz magumu zidi ya miss use of public funds
tulia wewe ccm iko poa sana kwa sasa hivi so we mpe kura magufuli afu utapata hayo maendeleo unayotaka. Magu yupo kitofauti sanaaa
 
Ni Mwizi yeye, jamaa zake akina January n.k na hadi watoto zake. Yeye ndio Richmond, EPA na Escrow (watoto).
 
Ni rais mwenye hotuba nzuri na ndefu lakini utekelezaji zero.

Kwanini unahisi malengo yake hayafanikiwi?

Je ni kuwa na mikakati mibovu au kukosa mikakati kabisa?

Je, hoja ya kuwa anahujumiwa na watendaji ni ukweli au kisingizio cha kuficha udhaifu wake.Kama unajua naomba majibu!
 
Kikwete ukitaka umuelezee yeye ni nani utajaza kaunta buku 5. Kwa kuanzia jk ni vasco da gama wa Tanzania.
 
Kikwete ukitaka umuelezee yeye ni nani utajaza kaunta buku 5. Kwa kuanzia jk ni vasco da gama wa Tanzania.

Kiongozi, Vasco da gama alikuwa explorer na ndie aliefungua njia ya kuanza kwa uchumi wa kinyonyaji na umiliki wa maeneo makubwa duniani.Aliisaidia Ureno kuanzisha Utawala wa kikoloni uliodumu kwa muda mrefu.

Je, Kikwete amegundua nini?
Je, ameisaidia Tanzania nini ambacho kitakumbukwa?
 
Back
Top Bottom