Paul Alex
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 4,346
- 9,846
Rais wetu aliwahi kutoa onyo kuwa watu wasidanganyike na sura yake, wasidanganyike na tabasamu lake.
Nimekuwa nikimfuatilia kwa karibu sana toka alipotoa maneno hayo ili nifahamu sura yake kamili na maana ya tabasamu lake ila nimefeli, sijaambulia kitu.
Ndio maana leo naomba msaada kwa waliomfahamu vizuri, wapendwa; Jakaya Mrisho Kikwete ni nani?
1. Je, ni mwanamapinduzi au labda ni mwanamageuzi?
2. Je,ni mtu asieogopa kujaribu au ni mtu asiyejua anachojaribu?
3. Je,ni dicteta aliyejificha kwenye ngozi ya democrasia au ni mtu mwenye misimamo isioyumba?
4. Je, ni mtu msafi aliyezungukwa na wezi au ni mafia anayetumia mkono wa giza kufanya mambo yake?
5. Je, Magufuli ni zawadi ya Kikwete kwa Tanzania au ni toleo la pili la Kikwete?
Au ni mchawi anayetaka kuizamisha Tanzania?
6.Uzuri wake mkubwa ni nini na kosa lake kubwa ni nini?
7.Je, ni rais aliyehujumiwa na watendaji wake au anatumia kisingizio cha kuhujumiwa kuficha udhaifu wake?
8.Je, anajua alipo Mwamunyange? na kama anajua mbona hatuambii?
9.Je, CCM ikishindwa uchaguzi atarudi Msoga kulima kweli?
Wadau nisaidieni kujua, Jakaya Mrisho Kikwete ni nani?
Nimekuwa nikimfuatilia kwa karibu sana toka alipotoa maneno hayo ili nifahamu sura yake kamili na maana ya tabasamu lake ila nimefeli, sijaambulia kitu.
Ndio maana leo naomba msaada kwa waliomfahamu vizuri, wapendwa; Jakaya Mrisho Kikwete ni nani?
1. Je, ni mwanamapinduzi au labda ni mwanamageuzi?
2. Je,ni mtu asieogopa kujaribu au ni mtu asiyejua anachojaribu?
3. Je,ni dicteta aliyejificha kwenye ngozi ya democrasia au ni mtu mwenye misimamo isioyumba?
4. Je, ni mtu msafi aliyezungukwa na wezi au ni mafia anayetumia mkono wa giza kufanya mambo yake?
5. Je, Magufuli ni zawadi ya Kikwete kwa Tanzania au ni toleo la pili la Kikwete?
Au ni mchawi anayetaka kuizamisha Tanzania?
6.Uzuri wake mkubwa ni nini na kosa lake kubwa ni nini?
7.Je, ni rais aliyehujumiwa na watendaji wake au anatumia kisingizio cha kuhujumiwa kuficha udhaifu wake?
8.Je, anajua alipo Mwamunyange? na kama anajua mbona hatuambii?
9.Je, CCM ikishindwa uchaguzi atarudi Msoga kulima kweli?
Wadau nisaidieni kujua, Jakaya Mrisho Kikwete ni nani?