Jiwe yeye mwenyewe ni Kiki tosha haitaji wapambe!
Ukweli mchungu, Kuanzia kigogo na wote mnaoendekeza sjui sukuma gang, sijui mataga, ndio chanzo kikubwa na mwendelezo wa ukanda, ukabila n.k
Haya mambo ya kusema vibaya kabila Fulani, safari ya kama Taifa moja, itatugharimu
JK ndiye hazina pekee iliyo baki ktk Taifa la Tanzania na hata Afrika Mashariki na kati.
ni tegemeo kwa ukanda wote wa maziwa makuu n.k.
kwa kifupi ndio nguzu ya katikati iliyo shika paa la nyumba.
Tunaomba uongozi wa Mama Samia umlinde na umtunze kwa umakini mkubwa.lkn zaidi tuna muombea Mungu amlinde.
Sukuma gang watanuna.
Wanaosema hivyo, ni vichaa. Msiba tangu lini akawa na akili!!Hivi wanaosema kashiriki kumuua rais JPM Ni kweli au ni kuchafuana
mahaba yapo tunampenda balaaaAlikua anapima kiwango cha mahaba ya watanzania kwake.
Nini wewee SemenyaKeleng'ende