samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,174
anaonekana Chizi tu, hana la maana hata moja la kuogopwa maana anaandika pumba tu...veronica france aka musiba anatesa sana nchii hii hatari anaogopeka balaa
Huwezi kumfananisha hata robo na yule jamaa wa tweeter Kigogo, kigogo mara nyingi huwa na taarifa za uhakika na mara nyingine akiandika anaonekana ni mtu mwenye uelewa mpana wa mambo..