JK akivuta hii nchi inaweza pata chaos
Ramli yako sio kweli!! Alivuta Kambarage na nchi ikasonga bila wasi itakuwa huyu mkwere wa EPA na RICHMOND!!! Tutaondoka wote lakini Ardhi ya Tanzania itabaki salama.
JK akivuta hii nchi inaweza pata chaos
Na alivyo na Roho nzuri, atahudhuria misiba yao.Rais Mstaafu Comrade Jakaya Kikwete na Mkuu wa Chuo Kikuu cha UDSM leo Alhamisi tarehe 27 Mei 2021 akiwa chuoni UDSM kwa ajili ya kutunuku digrii kwenye duru ya kwanza ya Mahafali ya 51 ya UDSM.
Mnaomuombea Kikwete afe, ataishi miaka mingi kama Mwinyi kwa sababu hana roho mbaya
View attachment 1799261
Nimeona mkuu. Huyu mstaafu ni hazina ya taifa
Mataga walimzushia bila aibuNaona amejibu mapigo instantly.
Huyo anayezusha atafutwe ashikishwe adabu tuKazushiwa kifo huko FB
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Rais Mstaafu awamu ya nne, Mheshimiwa Dkt Jakaya Kikwete ameshiriki kuwatunuku Degree kwenye duru ya kwanza ya mahafali ya 51 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam leo Mei 27, 2021.
Ni ujinga ujinga tu, walishaambiwa kuwa kama wana ushahidi wapeleke.Hivi wanaosema kashiriki kumuua rais JPM Ni kweli au ni kuchafuana
Tangu Mwendakuzimu asepe jamaa hatulii utadhani anataga.
God bless president Lowassa the rais wa mioyo yetu!
Kesho yake akaenda Kurasini kuzindua hostel (Japokuwa kuna kitu alikivaa mkono wake wa kushoto ndani ya suti, na alikuwa anakigusa mara kwa mara), the same day akamteua Bashiru kuwa KMK na balozi, next day akamwapisha Bashiru Ikulu (Hakuongea lolote baada ya uapisho, kwa madai anawahi mkutano wa online na viongozi wa EAC), akaonekana jioni yake kwenye page za Msigwa anazugazuga kwenye meza kwenye mkutano (Ikaja kugundulika hakushiriki ule mkutano (according to official pages za EAC), Mama Samia alimwakilisha), baada ya ile video hakuonekana tena hadharani hadi alipokuja kuonekana Taifa akiwa ndani ya jeneza!! Haya maisha bwana!! Ni kujilisha upepo tu sometimes
Vipi mzee wangu unakumbuka Nini kwa utawala wa huyu mwamba!!Mungu ampe maisha marefu yaliyojaa kheri
Wala. Ni mawazo yako tu.JK akivuta hii nchi inaweza pata chaos
Kikwete ni mmoja ya watu waliyoharibu sana Tanzania. Utawala wake ulikuwa kama uko likizo na nchi iligeuka kuwa danguro kubwa.Agombee Tena.......U RAIS