Ukisikia kauli tata ndizo hizo,
Ina maana hata yeye mwenyewe hajikubali kua ni mpinga ufisadi?
Au anazungumzia kwa walioko madarakani sasa?
Anway, ngoja nikanunue hilo gazeti nimsome kwa undani zaidi!!
Kwa upande wangu naona atakuwa sahihi kabisa, hakuna aliyekua serious ktk kukabiliana na hili naona huu ufisadi umeanzia kwa rais mwenyewe ndo maa unakuwa mgumu kukabiliana nao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.