We kubwa jinga mbona unalazimisha mambo? Nimashakueleza in one of my comments above kuwa rasimu ya katiba sio mswada wa sheria, hivyo haikupelekwa bungeni! Wala bunde la JMT halitoigusa rasimu ya katiba in any way! Bunge la katiba ndo litafanya hivyo. Mswada unaopigiwa kelele kwa sasa ni ule wa kuratibu the whole process ya kupata katiba mpya, na hata bado haujakamilika wote. Kumbuka bado mswada haujafanyiwa marekebisho kwenye vipengele vingine kama kura ya maoni, etc, ndo kwanza wamerekebisha kipengele cha bunge la katiba, hata rais bado haja-consent!
Narudia tena, usichanganye mambo, rasimu ya katiba haipelekwi kwenye bunge la JMT, itapelekwa kwenye bunge la katiba, so usipotoshe watu kuwa wabunge wenu wa CCM wamepitisha rasimu ya katiba tayari! Ni uongo, na aibu vilevile coz naamini hukujua mtiririko mzima wa katiba mpya unaendaje, unadandia tu, kisa bwana yako Bulembo katajwa humu!