Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,707
- 1,729
Tatizo la chama chetu siku hizi kila mshika kipaza sauti kwenye mikutano anakuwa msemaji wa Chama!!!!!!!!!!Nape atuambie, kauli ya Bulembo ndio msimamo wa CCM?
Tatizo la chama chetu siku hizi kila mshika kipaza sauti kwenye mikutano anakuwa msemaji wa Chama!!!!!!!!!!Nape atuambie, kauli ya Bulembo ndio msimamo wa CCM?
Warioba ni mpotoshaji. Kama anadhani tume yake Ina wajibu wa kutoa elimu, ni kwa nini akiwa Kondoa yeye na tume yake waliwaambia wajumbe wa Mabaraza kuwa "......mtake msitake serikali tatu ni lazima......" Hiyo ndio elimu anayodai walikuwa wanatoa. Warioba mbona haelezi ni kwa nini tume yake ilitaka kuchezea kichapo ilipokuwa Mpwapwa na Kondoa. Aache unafiki, afanye tume inachopaswa kufanya. Yeye Hana tofauti na walaji wengine tu. na ndio maana nasema anajidhalilisha mwenyewe. A kuitaka heshima ataheshimiwa, la sivyo ........Ni kweli hili ni tatizo kubwa sana kwa wanasiasa walio wengi katika nchi yetu - Hongera Jaji kuwaambia ukweli.
Nafikiri unaemueleza hakuwahi wala hajaelewa the whole process ya Katiba. Yeye anafikiri muswada wa sheria ndiyo rasimu ya Katiba iliyopigiwa kura.
Malicela With due respect hapa tunasomwa na wenzetu katika Jumuiya ya Afrika ya mashariki, na hakuna jambo la fedheha kama itakuwa inajirudia kwamba hata 'Viongozi' wetu hawajui chochote kuhusu mchakato wa Katiba. Unapoingia hapa kwenye majadiliano kama haya ukiwa 'Kiongozi' jaribu kufanya home work na kujiridhisha unachotaka kuchangia kwa jambo kubwa kama hili.
1. Jifunze rasimu ya Katiba nini
2. Muswada wa sheria (uliopitishwa na Bunge unazungumzia zaidi namna Bunge la Katiba litakavyokuwa) na pengine baada ya muda mfupi unaweza kuja tena muswada mwingine wa Sheria ili kushagiisha rasimu ya Katiba itakavyohitimishwa na kuwa Katiba.
Anachozungumzia Warioba ni Rasimu ya Katiba, ambayo bado kabisa haijahitimishwa.
- u know what mimi bado namsikiliza Babu yenu mwenye miaka 75, anatafuta mchumba mahakamani, na huku anataka urais! ha! ha1 ha1
Le Mutuz
- u know what mimi bado namsikiliza Babu yenu mwenye miaka 75, anatafuta mchumba mahakamani, na huku anataka urais! ha! ha1 ha1
Le Mutuz
- Kaiz ya Warioba ilikuwa kukusanya maoni, na kuyakabidhi kwa Taifa sio kutuamulia maoni yawe ya Serikali tatu, maoni yamekusanywa na sasa yatachambuliwa yakiwa kama muswaada.
Le Mutuz
Una mapungufu makubwa katika uelewa wa mambo ya sheria kijana,
Tumia mda wako kusoma sheria iliyounda tume hiyo na kazi za tume hiyo,
Tume inatakiwa kutoa elimu kwa watanzania wakati wote,
Kweli wewe hamnazo CCM/CHADEMA/WARIOBA hawana uhalali wakuwaamulia watanzania ni katiba ipi wanaitaka bali watanzania wenyewe wataamua kwa maslah ya Taifa.- CCM tuna wabunge wengi kuliko wenu, CCM tuna 280 Chadema mna 46 tu, so Sheria ipo wazi uamuzi ni wetu CCM sio wenu wala Warioba.
Le Mutuz
- Maneno yangu na yako ynajisema nani anaumwa maana unawezaje kushindana na chama chenye Wabunge 280 na wewe una 46 tu? ndio kuumwa kwenyewe huko!!
Le Mutuz
Narudia tena mkuu,
Kasome sheria iliyounda tume hiyo na kazi zake,
Usiongee usichokijua,
Mzee Warioba anatimiza wajibu wa sheria
Ndani ya chama chetu siku hizi ni MAJANGA tu mkuu.Una mapungufu makubwa katika uelewa wa mambo ya sheria kijana,
Tumia mda wako kusoma sheria iliyounda tume hiyo na kazi za tume hiyo,
Tume inatakiwa kutoa elimu kwa watanzania wakati wote,
- Warioba anaweza kutimiza wajibu wake kama tu akijiuzulu now na kusema maoni yake akiwa nje ya tume, nenda usome tena katiba inasemaje
Le Mutuz
- CCM tuna wabunge wengi kuliko wenu, CCM tuna 280 Chadema mna 46 tu, so Sheria ipo wazi uamuzi ni wetu CCM sio wenu wala Warioba.
Le Mutuz
Ha ha ha ha ha Kumbe hata huelewi kile ambacho kinapiganiwa kwenye mswada kweli CCM kuna viongozi.- Rasimu haijadiliki tena ndio maana Chadema na CUF wanasema Rais asisaini ili iendelee kujadiliwa naona wewe ndio unahitaji kusoma tena katiba.
Le Mutuz
Ha ha ha ha ha Kumbe hata huelewi kile ambacho kinapiganiwa kwenye mswada kweli CCM kuna viongozi.
Hakuna mwenye mamlaka ya kuikosoa tume ila yule aliyeiteua. Sio kila mtu anaropoka tuu. Hat hivyo twajua hila hila za chama Tawala.
- Rasimu haijadiliki tena ndio maana Chadema na CUF wanasema Rais asisaini ili iendelee kujadiliwa naona wewe ndio unahitaji kusoma tena katiba.
Le Mutuz