Jaji Warioba amjibu Bulembo (CCM)

Jaji Warioba amjibu Bulembo (CCM)

- Kazi ya Warioba ilikuwa ni kukusanya maoni tu ya wananchi na kuyaandika chini sio kutuamulia maoni yake, kama kuwa na haya mawazo ni kujiabisha so be it! ha! ha1 ha1

Le Mutuz

Napenda kukuelimisha kuwa kazi ya tume sio "ilikuwa", bado inaendelea. Na sasa wanakusanya maoni katika level ya mabaraza ya wilaya na taasisi. Warioba hajawahi kuwa na "maoni yake" bali walichandika ni kile kilichopendekezwa na wananchi wengi waliotoa maoni katika awamu ya kwanza. Bado mna nafasi ya kutoa maoni tofauti katika awamu hii ya mabaraza, Warioba hajawakataza...
Au utupe mfano ni maoni gani tume ya warioba imeyakataa na kulazimisha kuweka ya kwake?...
 
- ha! ha! ha! CCM tupo wachache kuliko wananchi waliotuchagua na kuwa na wabunge 280, over wenu 46? ha! ha1

Le Mutuz
Mmechaguliwa kwa kura zisizozidi mil. 5 ambazo ni kama 10% ya watanzania wote wanaoguswa na katiba wakiwemo watoto wanaotetewa na katiba.

Unachotakiwa kuelewe ni kuwa hii katiba si ya CCM pekee hata kama mnaongoza nchi.
 
Sasa hapa sijui unaongelea nini? Mswaada unaosubiri kusainiwa uwe sheria au Rasimu ya katiba, sikumbuki kama rasimu ya Katiba iliisha pelekwa bungeni na kufanya nini! Kuna vitu viwili hapa unachanganya, ila kwa sababu ni tabia yenu kutumia ma------ badala ya kichwa unazidi kukomaa na kitu ambacho unaonyesha wazi hukijui! Mzee Malecela ana bahati mbaya sana kuwa na mtoto wa kiume kama wewe ni bora hata ungezaliwa wa kike tungesema ungeolewa! Kiroho safiiiii

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

- Hapana si mmeoana na CUF chama mlichosema wenyewe kuwa ni cha Waliberali! ha! ha! ha! ninasema hivi Wariona na Chadema hamna mamlaka kisheria kuamua katiba mpya ni CCM tu ndio tuna haki kisheria, unasemaje hapo?

Le Mutuz
 
- Warioba ameongea ni wajibu wa kila Mtanzania kumjibu, Bulembo ni mwananchi na ni Kiongozi wa CCM ana haki ya kumjibu Warioba, Warioba amekosea sana kujaribu kuwalazimisha wananchi maoni yake badala ya kuwasikiliza tu kama anavyotakiwa kisheria, ni vyema Warioba akajizulu sasa mapema kuliko kusubiri aibu.

- BAada ya Rasimu ya katiba kupitishwa kama muswaada bungeni, ulikuwa ndio mwisho wa habari, CCM haiwezi kulazimishwa maneno ya Warioba na Chadema, Sheria ipo wazi kwamba CCM ndio majority na ndio wenye final say na katiba mpya, Chadema na Warioba wangeomba huruma ya kusikilizwa sio kutusisha na matusi na vitisho vya kujizuulu atoke tu ili apate nafasi ya kusema maoni yake huru.

Le Mutuz

We kubwa jinga mbona unalazimisha mambo? Nimashakueleza in one of my comments above kuwa rasimu ya katiba sio mswada wa sheria, hivyo haikupelekwa bungeni! Wala bunde la JMT halitoigusa rasimu ya katiba in any way! Bunge la katiba ndo litafanya hivyo. Mswada unaopigiwa kelele kwa sasa ni ule wa kuratibu the whole process ya kupata katiba mpya, na hata bado haujakamilika wote. Kumbuka bado mswada haujafanyiwa marekebisho kwenye vipengele vingine kama kura ya maoni, etc, ndo kwanza wamerekebisha kipengele cha bunge la katiba, hata rais bado haja-consent!

Narudia tena, usichanganye mambo, rasimu ya katiba haipelekwi kwenye bunge la JMT, itapelekwa kwenye bunge la katiba, so usipotoshe watu kuwa wabunge wenu wa CCM wamepitisha rasimu ya katiba tayari! Ni uongo, na aibu vilevile coz naamini hukujua mtiririko mzima wa katiba mpya unaendaje, unadandia tu, kisa bwana yako Bulembo katajwa humu!
 
Wewe unazidi kumtetea mtu asiyebebeka; Bulembo amewahi kushindwa chaguzi
1. FAT,
2. Kura ya Maoni CCM, Bunda
3. Udiwani KIjitonyama pamoja na kutoa rushwa kwenda mbele
 
- Hatuwezi kuongelea Rasimu wakati tayari imeshakuwa muswaada, alichosema Bulembo ni sawa sawa kwamba Warioba hakuteuliwa kuwaamulia wananchi maoni ya katiba na wala hakuambiwa kuwaelemisha maana katiba, alichotakiwa ni kukusanya tu maoni yao, Warioba kama mwananchi wa Tanzania anayo haki ya kutoa maoni yake kuhusu katiba lakini hawezi kuyatoa akiwa ndani ya tume ni mpaka ajiuzulu kwanza, ndicho alichoambiwa na Bulembo na hakuna cha ajabu hapo wala utata.

- Narudia tena Warioba, ajiuzulu sasa kazi yake ya kamati ili awe Raia huru kama wengine wote ndio atoe maoni yake kuhusu KAtiba, hatuwezi kujadili Rasimu sasa maana tayari Rasimu ipo Bungeni inasubiri saini ya Rais twende kwa mbele.

Le Mutuz

Mbona ccm tu ndiyo wanapinga katiba hasa watoto wa waliokuwa wanasiasa hasa ww na sio raia wa kawaida inamaana katiba iliyyokuwepo ilikuwa inawanufaisha kundi fulani ambalo ndiyo linaendesha mapambano hivi sasa,kwa vyovyote vile wezi wa uongozi na rasilimali za nchi hii hawawezi kukubali katiba,wengine tupo nao mitaani humu wanalalamika kuwa dili zao zitakufa,inaonekana ccm kunakitu wanakitaka ndipo katiba ipatikane,hawaitaki ICC kwa sababu wanataka watutawale kwa mtutu wa bunduki,pia ccm msimwandame warioba kwani katika ile tume kuna great thinkers nao ndio wameona kuwa mfumo na taratibu unaofaa ndio huo uliopo kwenye rasimu.amen
 
- Warioba ameongea ni wajibu wa kila Mtanzania kumjibu, Bulembo ni mwananchi na ni Kiongozi wa CCM ana haki ya kumjibu Warioba, Warioba amekosea sana kujaribu kuwalazimisha wananchi maoni yake badala ya kuwasikiliza tu kama anavyotakiwa kisheria, ni vyema Warioba akajizulu sasa mapema kuliko kusubiri aibu.

- BAada ya Rasimu ya katiba kupitishwa kama muswaada bungeni, ulikuwa ndio mwisho wa habari, CCM haiwezi kulazimishwa maneno ya Warioba na Chadema, Sheria ipo wazi kwamba CCM ndio majority na ndio wenye final say na katiba mpya, Chadema na Warioba wangeomba huruma ya kusikilizwa sio kutusisha na matusi na vitisho vya kujizuulu atoke tu ili apate nafasi ya kusema maoni yake huru.

Le Mutuz

yani kama kuna watu wana upeo mdogo wa uelewa, basi ni wewe

shukuru Mungu sana ulizaliwa na mzazi mwenye nafasi katika jamii, ungeishia kuwa omba omba tu maana hata kilimo usingeweza kwani ungechemsha mbegu kabla ya kuzipanda ukidhani utavuna chakula kilichokwisha pikwa

Youare sooo useless
 
Namshauri warioba angekaa kimya asijishane na wanasiasa vinginevyo nayeye ataonekana hewa tu.
 
- Warioba analia kwa sababu amejaribu kuwafundisha Serikali tatu wananhci wamekataa kutokana na elimu waliyopewa na CCM chama chao ndio maana Warioba analia machozi, ajiuzulu tu tuendeleee na mchakato wa KAtiba yetu mpya!!

Le Mutuz

Una uhakika gani kuwa hao wanaCCM mliowaelimisha wakakatae serikali tatu waliwaelewa na/au kuwakubalia? Akina Warioba wataandika kile kilichopendekezwa na majority..., na hatajiuzulu kwa sababu ya kelele za CCM. Warioba hakuteuliwa na CCM, wala hayupo pale kupokea maoni ya CCM, bali maoni ya wananchi... Mnataka ajiuzulu ili mumpe Kinana uenyekiti?!!! Mmenoa...
 
- Sheria ipo wazi kwamba majority bungeni ndio wenye uamuzi wa mwisho wa marekebisho ya sheria ya jamhuri, CCM ndio tuna majority bungeni kwa hiyo sio Warioba, wala Chadema au CUF wenye uamuzi wa mwisho mnaweza kuitukana as much as you can lakini Sheria ni msumeno Warioba hana mamlaka kisheria kutuamulia katiba, ni vyema akajizulu tume sasa ili apate nafasi ya kutoa maoni yake kama raia.

Le Mutuz
Swala la uwingi wenu bungeni sio kigezo chakuwafanya watanzania wakubaliane na kila upuuzi wenu.Swala la katiba ni kwa maslah ya umma sio ya chama chochote cha siasa.Hatuhitaji katiba ya kamati kuu ya CCM.Wananchi wametoa maoni yao wamesema wanataka serikali tatu sasa iweje CCM muwe kinyume na wananchi?
 
Wewe unazidi kumtetea mtu asiyebebeka; Bulembo amewahi kushindwa chaguzi
1. FAT,
2. Kura ya Maoni CCM, Bunda
3. Udiwani KIjitonyama pamoja na kutoa rushwa kwenda mbele

- Ameshindwa Slaa urais, ameshindwa Mbowe urais, imahindwa Chadema kushika bunge, Bulembo ameshinda ni Mwenyekiti wa Jumuiya so relax na huna hoja!!

Le Mutuz
 
We kubwa jinga mbona unalazimisha mambo? Nimashakueleza in one of my comments above kuwa rasimu ya katiba sio mswada wa sheria, hivyo haikupelekwa bungeni! Wala bunde la JMT halitoigusa rasimu ya katiba in any way! Bunge la katiba ndo litafanya hivyo. Mswada unaopigiwa kelele kwa sasa ni ule wa kuratibu the whole process ya kupata katiba mpya, na hata bado haujakamilika wote. Kumbuka bado mswada haujafanyiwa marekebisho kwenye vipengele vingine kama kura ya maoni, etc, ndo kwanza wamerekebisha kipengele cha bunge la katiba, hata rais bado haja-consent!

Narudia tena, usichanganye mambo, rasimu ya katiba haipelekwi kwenye bunge la JMT, itapelekwa kwenye bunge la katiba, so usipotoshe watu kuwa wabunge wenu wa CCM wamepitisha rasimu ya katiba tayari! Ni uongo, na aibu vilevile coz naamini hukujua mtiririko mzima wa katiba mpya unaendaje, unadandia tu, kisa bwana yako Bulembo katajwa humu!

unazungumza na mtu ambaye litumbo lake limejaa kodi zetu. Bulembo ana mwanya kwenye ubongo
 
Una uhakika gani kuwa hao wanaCCM mliowaelimisha wakakatae serikali tatu waliwaelewa na/au kuwakubalia? Akina Warioba wataandika kile kilichopendekezwa na majority..., na hatajiuzulu kwa sababu ya kelele za CCM. Warioba hakuteuliwa na CCM, wala hayupo pale kupokea maoni ya CCM, bali maoni ya wananchi... Mnataka ajiuzulu ili mumpe Kinana uenyekiti?!!! Mmenoa...

- Wanachama wetu wameelewa somo ndio maana WArioba analia lia,

Le Mutuz
 
- ha! ha! ha! CCM tupo wachache kuliko wananchi waliotuchagua na kuwa na wabunge 280, over wenu 46? ha! ha1

Le Mutuz

unajua takwimu za uchaguzi 2010 against idadi ya watu wenye sifa za kupiga kura?

Kweli wewe ni zaidi ya flying hippo!
 
Swala la uwingi wenu bungeni sio kigezo chakuwafanya watanzania wakubaliane na kila upuuzi wenu.Swala la katiba ni kwa maslah ya umma sio ya chama chochote cha siasa.Hatuhitaji katiba ya kamati kuu ya CCM.Wananchi wametoa maoni yao wamesema wanataka serikali tatu sasa iweje CCM muwe kinyume na wananchi?

- Hayo ndio maneno yenu mnayodanganyana huko Chadema na CUF, Sheria inasema walio wengi bungeni ndio wenye uamuzi wa mwisho wa Sheria sio wachache, wala muungano wa Waliberali na Chadema, ha! ha! ha!

Le Mutuz
 
- Hatuwezi kuongelea Rasimu wakati tayari imeshakuwa muswaada, alichosema Bulembo ni sawa sawa kwamba Warioba hakuteuliwa kuwaamulia wananchi maoni ya katiba na wala hakuambiwa kuwaelemisha maana katiba, alichotakiwa ni kukusanya tu maoni yao, Warioba kama mwananchi wa Tanzania anayo haki ya kutoa maoni yake kuhusu katiba lakini hawezi kuyatoa akiwa ndani ya tume ni mpaka ajiuzulu kwanza, ndicho alichoambiwa na Bulembo na hakuna cha ajabu hapo wala utata.

- Narudia tena Warioba, ajiuzulu sasa kazi yake ya kamati ili awe Raia huru kama wengine wote ndio atoe maoni yake kuhusu KAtiba, hatuwezi kujadili Rasimu sasa maana tayari Rasimu ipo Bungeni inasubiri saini ya Rais twende kwa mbele.

Le Mutuz

Matatizo yakuzaliwa kwenye mkesha wa mwenge hayo ndio mana mnakua waropokaji na kukosa busara na akili.
 
yani kama kuna watu wana upeo mdogo wa uelewa, basi ni wewe

shukuru Mungu sana ulizaliwa na mzazi mwenye nafasi katika jamii, ungeishia kuwa omba omba tu maana hata kilimo usingeweza kwani ungechemsha mbegu kabla ya kuzipanda ukidhani utavuna chakula kilichokwisha pikwa

Youare sooo useless

Hahaaaa, kaka hili jamaa sidhani hata kama lilipata Div zero, hili inaonekana halikumaliza shule kabisaaa!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Napenda kukuelimisha kuwa kazi ya tume sio "ilikuwa", bado inaendelea. Na sasa wanakusanya maoni katika level ya mabaraza ya wilaya na taasisi. Warioba hajawahi kuwa na "maoni yake" bali walichandika ni kile kilichopendekezwa na wananchi wengi waliotoa maoni katika awamu ya kwanza. Bado mna nafasi ya kutoa maoni tofauti katika awamu hii ya mabaraza, Warioba hajawakataza...
Au utupe mfano ni maoni gani tume ya warioba imeyakataa na kulazimisha kuweka ya kwake?...
Mkuu taratibu usitupotoshe kwa sasa wanachambua maoni siyo kukusanya maoni kuwa mwangalifu sana uongo siyo mzuri mkuu.
 
Back
Top Bottom