Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,468
TBC Radio imetangaza,kiongozi wa jeshi la Misri aliyemuondoa madarakani Hosni Mubarak,leo ametangaza kwamba amemuondoa madarakani Mohamed Morsy.
Jaji Mkuu wa Misri ataapishwa leo kuongoza Serikali ya mpito. Morsy yupo kizuizini.
Jaji Mkuu wa Misri ataapishwa leo kuongoza Serikali ya mpito. Morsy yupo kizuizini.