Dingiswayo
Member
- Jun 6, 2009
- 63
- 54
Wana jamvi, ninapoongea sasa hukumu ya kesi ya kupinga ubunge wa Mh Felix Mkosamali NCCR Muhambwe inaendelea nitawajuza kitakachojiri baada ya hukumu kamili kutolewa kinachoendelea sasa ni majumuisho mbalimbali ya kesi hiyo.