Zogwale JF-Expert Member Jul 10, 2008 15,287 10,842 Apr 20, 2012 #61 Hongera mpiganaji, tunasubiri Segerea. Halafu simsikii Makongoro Mahanga siku hizi? Au .... maana naye.....kimeo!!! Ningekuwa yeye ningepumzika!!
Hongera mpiganaji, tunasubiri Segerea. Halafu simsikii Makongoro Mahanga siku hizi? Au .... maana naye.....kimeo!!! Ningekuwa yeye ningepumzika!!
toghocho JF-Expert Member Mar 16, 2011 1,172 198 Apr 20, 2012 #63 thnks maana bila upinzani ccm hata bunge watakuwa wanaenda wanajadili kuoana wanasepa
M Mawinyi Yeye Member Apr 20, 2012 28 7 Apr 20, 2012 #64 Watashindana lakini hawata shinda@magamba/ccm
LE GAGNANT JF-Expert Member Jan 20, 2011 1,241 251 Apr 20, 2012 #65 sosoliso said: Mkuu tarehe 2 May ndio ambayo Jaji (akiamua kufuata sheria) atautengua rasmi ubunge wa Makongoro kwenye Jimbo la Segerea.. Click to expand... ngoja tusubiri
sosoliso said: Mkuu tarehe 2 May ndio ambayo Jaji (akiamua kufuata sheria) atautengua rasmi ubunge wa Makongoro kwenye Jimbo la Segerea.. Click to expand... ngoja tusubiri