Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,323
- 6,811
Magamba bwana, wanawadharirisha tu majaji!!
Hebu tusubiri mazingaombwe mengine ya majaji kwenye kesi hii!
Hebu tusubiri mazingaombwe mengine ya majaji kwenye kesi hii!
Wewe mjinga nini kwani aliyekwamibia Lisu hatambui muungano ni nani? Lisu anachopigania muungano uwe na uwiano mzuri na uwanufaishe watu wa pande zote!aitambue zanzibar kama sehemu ya muungano kwanza ndo tumuelewe , vingine8yo
na tanganyika ni nchi nje ya muungano!?hivi mtu akikuambia zanzibar siyo nchi ndani ya muungano, lakini ni nchi nje ya muungano ndiyo kajibu nini?
Zanzibar wana katiba, bendera na wimbo wao wa taifa.
Zanzibar ni nchi ndani ya muungano mazee!
Back to topic
asap
na tanganyika ni nchi nje ya muungano!?
Jana pia mlituambia hivihivi kwamba mtaendelea kutujuza yatayokuwa yakijiri lakini wapi,.. Leo napo ni yaleyale.. ahadi bana daaah!!Katika hali isiyo ya kawaida, jaji Moses Mzuna, anayesikiliza kesi ya kupinga matokeo ya Jimbo la Singida mashariki, leo asubuhi amemlazimisha mbunge wa Jimbo hilo, TUNDU LISSU- CHADEMA, apande Kizimbani. Awali baada ya kesi kuahirishwa jana, Tundu Lissu alisema atakuja na mashahidi wasiozidi watano. Hata hivyo asubuhi ya leo baada ya mahakama kuanza, Tundu Lissu alimwomba shahidi wake wa kwanza SHABAN HAMISI LYIMU kuingia kizimbani, lakini Jaji akakataa, na kumwamuru Tundu Lissu apande kizimbani.
maelezo ya awali ya Lissu ni haya,
Mimi naitwa Tundu Antiphace Mughwai Lissu,
Umri wangu kwa sasa ni miaka 44, nakaa Ikungi Singida, Dodoma na Dar es Salaam. Mimi ni Mbunge wa Jimbo la Singida mashariki, tangu siku matokeo ya uchaguzi yalipotangazwa 31/10/2010. Vile vile mimi ni wakili wa mahakama kuu na mahakama zilizo chini yake kasoro mahakama ya Mwanzo. Vile vile Mimi ni Mwachama wa CHADEMA, tangu 2003, tangu wakati huo mimi ni mkurugenzi wa sheria, na katiba makao makuu DSM. Mimi pia ndio mnadhimu Mkuu wa kambi rasmi ya upinzani, na waziri kivuli wa sheria na katiba. Niliwahi kuwa mwanachama wa CCM, katika miaka ile ambayo usipokuwa mwana CCM usingeruhusiwa kwenda Chuo Kikuu. Nililazimika kujiunga na CCM ili niweze kwenda Chuo kikuu. Niliacha kuwa mwananchama wa CCM siku niliposajiliwa kuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Septemba 1991, tangu baada ya hapo nimekuwa katika siasa za upinzani................ Tutaendelea kuwajuza yote yanayojiri........... Mashahidi wote watatu wapo, na Lissu anataka kukamilisha mashahidi wote leo
sasa nimeanza kuona 2015 ni mbali, naona ukombozi wa nnchi umefika, naona jinsi ccm inavyosambaratika, ndani ya maono yangu sio 2015 bali ni 2012!!!!!!!!
Kesi za Uchaguzi: Hizi kesi lengo kubwa ni watu kupatiwa haki na kuondoa wasiwasi juu ya ushindi wa mbunge, diwani hata rais kama sheria zitaruhusu, hasa kwa kuangalia taratibu za uchaguzi kama zilizingatiwa ama la, maadili ya uongozi na yafananayo. Cha kushangaza katika kesi hizi ni kuwa majinmbo yanayochukuliwa na upinzani ndipo sheria na kanuni zinazingatiwa, ndipo mahakama ina pesa za kuharakisha kesi lakini majimbo yaliyoenda CCM kesi huchelewa na mara nyingine hupigwa danadana mpaka miaka 5 ikamilike angalia UBUNGO YA MNYIKA NA CHARLES KEENJA; Ukiangalia sasa kesi ya UBUNGO YA MNYIKA NA HAWA NG'HUMBI inaenda haraka, LEMA YA ARUSHA na LISSU YA SINGIDA. I can smell a rat somewhere.Duuuh hii tamu sanaaa,kama awe anairudia rudia kila saa vile
na tanganyika ni nchi nje ya muungano!?