The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,842
Ahhh imebidi niseme hii.......
Wakati inafahamika kuwa mwanaume kuwa na mwanamke mmoja
tu its unnatural.....cha kushangaza suala la mwanamke kuwa na mke zaidi ya mmoja
nalo ni linachukuliwa kama crime......
Yaani watu wa nchi za western wamepandikiza mawazo kwetu wa africa tuone
kuwa sio ustaarabu kuoa mke zaidi ya mmoja lakini
tukubali kuwa mwanaume kuoa mwanaume mwenzake ni sahihi na ndo ustaarabu wenyewe
sasa mimi naona huyu jacob zuma anastahili pongezi kwa
kweli....
Tuache unafiki kwa kweli,kama mtu huwezi kutosheka na mmoja
bora uongeze mwingine na ujinafasi kwa uwazi bila woga.....
Na hapa jf naona bora tuanzishe club ya wale wote wanaosapoti polygamy....
Nafikiria kujiunga in the near future.....
And thats why jacob zuma is my hero
Wakati inafahamika kuwa mwanaume kuwa na mwanamke mmoja
tu its unnatural.....cha kushangaza suala la mwanamke kuwa na mke zaidi ya mmoja
nalo ni linachukuliwa kama crime......
Yaani watu wa nchi za western wamepandikiza mawazo kwetu wa africa tuone
kuwa sio ustaarabu kuoa mke zaidi ya mmoja lakini
tukubali kuwa mwanaume kuoa mwanaume mwenzake ni sahihi na ndo ustaarabu wenyewe
sasa mimi naona huyu jacob zuma anastahili pongezi kwa
kweli....
Tuache unafiki kwa kweli,kama mtu huwezi kutosheka na mmoja
bora uongeze mwingine na ujinafasi kwa uwazi bila woga.....
Na hapa jf naona bora tuanzishe club ya wale wote wanaosapoti polygamy....
Nafikiria kujiunga in the near future.....
And thats why jacob zuma is my hero