Jacky Mengi aka Jezebel's Daughter

Rumor has it kuwa jacky ndiye aliyesababisha Madam ritha kuwa banned ITV na bongo star search , hiyo yote ni kwa ajili ya kumkomoa Madam ritha who also rumored to be friends with Jacky before and also the ex of reg mengi.

Jacky pia we are told alihusika kikamilifu katika kumfilisi Emelda mwamanga wa Bang magazine , we all know the story of emelda

And most shockingly , two weeks before the death of mengi ,Jacky was busy doing media tour to flaunt akitaka kuonyesha Pubilc how deep in love she was with mengi , na Ma song mengi mengi ya Ma love Davi, wanazengo wanakwambia kuwa all drama was choreographed by Jacky to paint a picture kuwa they are so in love while she was in her terrible mission to finish the late mengi of which it was a success .

Jacky, wherever you are , remember that , karma is a very ugly bitch , that comes too fast , no wonder why you never cried when your husband died , wakat wewe ndo ulipaswa kuwa na uchungu kuliko hata wale walemavu na Madam ritha , yan your so called beloved husband anaungizwa kwa kaburi you were just watching as if it's a neighbor funeral , shame on you . Asiyefunzwa na ***** hufunzwa na ulimwengu .
...Lakini pale Kartimjee alitamka 'uuuwii my love.....! uso mkavuu
 
Acheni uongo. 'Wataalam wa mambo' tulianza kukiona kifo cha Mengi mapema. Mara baada ya kufariki mke wake, mie mwenyewe nilikuwa mtu wa mwanzo kumshauri akafunge ndoa upya ili kujiandaa na safari yake ya kiroho. Uzi huo ulifutwa wiki mbili tatu baadaye. Nashukuru Mungu Askofu Dr Shoo alituhabarisha kuwa Dr Mengi alifanya hivyo.
Hapa JF pia kuna ule uzi mwingine ambao ulihoji juu ya afya ya Dr Mengi hasa baada ya kuonekana kwenye msiba wa Ruge akiwa ameshaanza 'kuzimika'.
Mengi mwenyewe alitambua kuwa saa yake imekwisha na ndio maana alianza kutoa kauli za mafumbo akisema, bila Jack, huenda angekuwa amekwisha kufa.
Pia Mengi, hivi karibuni alianza kufuga midevu myeupe. Hii ilikuwa ni ishara kuwa ameshakubaliana na hali halisi kuwa amekwisha zeeka na siku zake zimekwisha so wacha tu mimvi ionekane.
Dalili zote za Mengi kuwa siku zake zilikuwa zimekwisha, zilishaanza kuonekana mapema.
Acheni kumuhusisha binti wa watu na kifo hicho ili kumchafulia jina.
Umechambua vizuri mkuu
 
Acheni uongo. 'Wataalam wa mambo' tulianza kukiona kifo cha Mengi mapema. Mara baada ya kufariki mke wake, mie mwenyewe nilikuwa mtu wa mwanzo kumshauri akafunge ndoa upya ili kujiandaa na safari yake ya kiroho. Uzi huo ulifutwa wiki mbili tatu baadaye. Nashukuru Mungu Askofu Dr Shoo alituhabarisha kuwa Dr Mengi alifanya hivyo.
Hapa JF pia kuna ule uzi mwingine ambao ulihoji juu ya afya ya Dr Mengi hasa baada ya kuonekana kwenye msiba wa Ruge akiwa ameshaanza 'kuzimika'.
Mengi mwenyewe alitambua kuwa saa yake imekwisha na ndio maana alianza kutoa kauli za mafumbo akisema, bila Jack, huenda angekuwa amekwisha kufa.
Pia Mengi, hivi karibuni alianza kufuga midevu myeupe. Hii ilikuwa ni ishara kuwa ameshakubaliana na hali halisi kuwa amekwisha zeeka na siku zake zimekwisha so wacha tu mimvi ionekane.
Dalili zote za Mengi kuwa siku zake zilikuwa zimekwisha, zilishaanza kuonekana mapema.
Acheni kumuhusisha binti wa watu na kifo hicho ili kumchafulia jina.
I second you my dear! Watanzania hebu tumuache huyu binti aishi maisha yake jamanii! Hivi ni nani ambaye hajui kwamba Mzee wetu Mengi was almost 80's? Ni nani hakumuona mzee jinsi alivyokuwa amechoka kwenye msiba wa Ruge?? Honestly Jacky hakuna na shida ya kumuua yule mzee maana hakuwa na uwezekano wa kumaliza huu mwaka! Watu waache wivu bwana mwenzao ndo keshamaliza hahahah
 
Acheni uongo. 'Wataalam wa mambo' tulianza kukiona kifo cha Mengi mapema. Mara baada ya kufariki mke wake, mie mwenyewe nilikuwa mtu wa mwanzo kumshauri akafunge ndoa upya ili kujiandaa na safari yake ya kiroho. Uzi huo ulifutwa wiki mbili tatu baadaye. Nashukuru Mungu Askofu Dr Shoo alituhabarisha kuwa Dr Mengi alifanya hivyo.
Hapa JF pia kuna ule uzi mwingine ambao ulihoji juu ya afya ya Dr Mengi hasa baada ya kuonekana kwenye msiba wa Ruge akiwa ameshaanza 'kuzimika'.
Mengi mwenyewe alitambua kuwa saa yake imekwisha na ndio maana alianza kutoa kauli za mafumbo akisema, bila Jack, huenda angekuwa amekwisha kufa.
Pia Mengi, hivi karibuni alianza kufuga midevu myeupe. Hii ilikuwa ni ishara kuwa ameshakubaliana na hali halisi kuwa amekwisha zeeka na siku zake zimekwisha so wacha tu mimvi ionekane.
Dalili zote za Mengi kuwa siku zake zilikuwa zimekwisha, zilishaanza kuonekana mapema.
Acheni kumuhusisha binti wa watu na kifo hicho ili kumchafulia jina.


Upo outdated sana!

Sasa kama alionyesha dalili za kudhoofika, ndiyo uondoe possibility ya poisoning??

Unaishi karne ya ngapi?
 
Yaani ndio kusema sisi wenye mvi kwenye kidevu na miaka thelathini na kitu ndio tumekwishakubali kuondoka, siyo?
Acheni uongo. 'Wataalam wa mambo' tulianza kukiona kifo cha Mengi mapema. Mara baada ya kufariki mke wake, mie mwenyewe nilikuwa mtu wa mwanzo kumshauri akafunge ndoa upya ili kujiandaa na safari yake ya kiroho. Uzi huo ulifutwa wiki mbili tatu baadaye. Nashukuru Mungu Askofu Dr Shoo alituhabarisha kuwa Dr Mengi alifanya hivyo.
Hapa JF pia kuna ule uzi mwingine ambao ulihoji juu ya afya ya Dr Mengi hasa baada ya kuonekana kwenye msiba wa Ruge akiwa ameshaanza 'kuzimika'.
Mengi mwenyewe alitambua kuwa saa yake imekwisha na ndio maana alianza kutoa kauli za mafumbo akisema, bila Jack, huenda angekuwa amekwisha kufa.
Pia Mengi, hivi karibuni alianza kufuga midevu myeupe. Hii ilikuwa ni ishara kuwa ameshakubaliana na hali halisi kuwa amekwisha zeeka na siku zake zimekwisha so wacha tu mimvi ionekane.
Dalili zote za Mengi kuwa siku zake zilikuwa zimekwisha, zilishaanza kuonekana mapema.
Acheni kumuhusisha binti wa watu na kifo hicho ili kumchafulia jina.
 
Ingawa bimdada ni tajiri, lakini atapata taabu sana kujisafisha na kujipambanua kwamba hahusiki kwa namna yoyote ile katika kifo cha Mzee. Tusije shangaa bimdada akaamua kujiondoa kwenye mirathi ili kuuthibishia umma kwamba hana haja na mali za Mzee.
 

Similar Discussions

10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom