Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,622
- 112,701
Na huwa anajua kumwaga chozi kweli kweli, shilawadu wanasema sio chozi la nchi hii.....
Kama hiyo tetesi ni ya kweli itabidi tu arudi migombani akalishe ng'ombe vijana wa mjini wana kazi ya kumfunua na kumfunika utadhani wanacheza kamari.
Behind the scene kuna nini mbona kuachwa sana......