Nenda Soko la Ilala...sio upande wa Karune.
Huku Ilala sokoni wanafungua mabalo ya majaketi kila siku.
Wahi saa 12 asubuhi kabla madalali hawajakusanya mzigo.
Madalali wanachukua mizigo saa 4 kamili
Maana jaketi utakalolikuta linauzwa sh 2000 au 3000, akija dalali ujue utalinunua kwa 8000 mpaka 12,000 ikifika saa 4