J. Samwel Malecela ni mgonjwa

J. Samwel Malecela ni mgonjwa

Chizi Fureshi

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2010
Posts
1,718
Reaction score
462
Wakuu, kwa mjibu wa spika wa bunge letu, mzee JS Malecela kafanyiwa operation kubwa(moyo). Hali hii imesababisha mama Anne Kilango kutokuwepo mjengoni tangu awali. Tumwombee mzee wetu afya njema.
 
Kweli mzee huyu tunatakiwa tumuombee apate nafuu ya haraka.
 
Hivi ana miaka mingapi huyu mzee wetu? Na @NYC,USA yupo na babake?
 
Ugua pole Malecela... Ndio maana simuoni mama Kilango... mpaka nikadhani amejivua gamba!!!
 
Namuombea apone haraka maana yeye ndiye mgombea urais 2015 CCK.
 
Ugua pole Mzee. Mungu akusaidie upone haraka na kurejea katika afya yako
 
Huyu mzee ni mzee wetu wote...na zaidi ya hapo ni baba wa mmoja wa member mwenzetu na rafiki yetu ...sasa you can not hate him on both.....

Ugua pole mzee jsm....mungu akupe uponyaji ...na aijalie familia yake na madaktari kumuuguza vyema!![/b]
 
Ugua pole mzee Male tingatinga linakukokotoa magugu,
 
umri aliofikisha unamtosha sana hata akifa hakuna hasara kwa taifa coz ni mzigo toka zamani
 
Pona haraka katika Jina la Yesu Kristo mzee wetu,hekima yako bado tunaìhitaji Tanzania.
 
Ugua pole! tuankuombea upone haraka. Kuugua kwako kunatuasababishia kumkosa mama yetu kipenzi Anne kilango!
 
Mungu akupe tawfif,mchango wako bado unahitajika sana katika taifa hili.
 
Back
Top Bottom