The mediator
Member
- Jun 15, 2011
- 14
- 5
Kwa mtazamo wangu, unajua mtu waweza fanya mamo mengi sana kwenye jamii au taifa kwa ujumla. Hasa unapokuwa kiongozi mkuu wa nchi,ukiwa kama kiongozi wa nchi vitu kama lawama ni kitu cha kawaida kwa sababu unaongoza makundi mbalimbali ya watu.
Hivyo yawezekana Mwalimu JK alikuwa ana mapungufu yake, lakini amefanya makubwa pia so tusimuhukumu kwa mambo madoga aliyofanya pia tumkumbuke kwa mambo makubwa aliyotutendea.
Binafsi namuona kweli anastahili kuwa baba wa taifa hili kwa sababu naamini kama angelikuwepo hadi leo si dhani kama tungepoteza muelekeo kama hivi sasa. Ange-play part yake anusuru taifa kugawanyika vipande vipande.
Mungu mlaze mahala pema peponi kiumbe wako kwa yoote mazuri aliyetufanyia na pia msamehe kwa yale madogo aliyoteleza kama binadamu.
Hivyo yawezekana Mwalimu JK alikuwa ana mapungufu yake, lakini amefanya makubwa pia so tusimuhukumu kwa mambo madoga aliyofanya pia tumkumbuke kwa mambo makubwa aliyotutendea.
Binafsi namuona kweli anastahili kuwa baba wa taifa hili kwa sababu naamini kama angelikuwepo hadi leo si dhani kama tungepoteza muelekeo kama hivi sasa. Ange-play part yake anusuru taifa kugawanyika vipande vipande.
Mungu mlaze mahala pema peponi kiumbe wako kwa yoote mazuri aliyetufanyia na pia msamehe kwa yale madogo aliyoteleza kama binadamu.