FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
FAIRPLAYER
Sasa naona unakaribia kunifanya nikuite mpuuzi wakati mimi sitaki kukuita hivyo. Hivi kuna mtu hapa TZ asiyejua kua Teddy ni MLA RUSHWA NUMERO UNO?? Nyerere alipewa file la Teddy na watu wa usalama but sio kwamba alipoingia kwenye kikao ndo aliegemea file hilo tu. Ujue licha ya Nyetrere kustaafu 1985 lakini alikua akifuatilia SANA siasa za TZ kuliko hata Viongozi. Ndo maana pale kilimanjaro 1995 alisema tunataka Rais asiyetumwa na mkewe maana ilionekana Mwinyi alikua kifuata sana maagizo ya Siti. Aidha, Katika kitabu chake alichowasema Malecela na Kolimba aliwaeleza mabaya yao 1992 licha ya kua alikua Musoma
Achana na nyerere
Mimi najua WEWE SIO MPUUZI.
Nyerere raia kama wewe ilikuwaje USALAMA WA TAIFA umpelekee file la mtu?. Kaka/dada unaelewa maana ya usalama wa taifa?
Mkapa akitaka file kuhusu wewe usalama wanampelekea tu?. Ndivyo ujuavyo?.
Unaposema Lowassa ni mla rushwa nambari moja kila mtu anajua, hii inanikumbusha vijiwe vya kahawa kule Lindi. Kwani kuna asiyejua kuwa Nyerere alikua sahihi kila kitu na yet mkavunja Azimio la Arusha?
Kila mtu anasema kua RIZ1 ana mali kila kona ya nchi. Unaamini hilo kwa kua kila mtu anasema?
Sijauliza ya Kolimba na Malecela. Hapa ni Lowassa. Thibitisha kauli zako na acha kutumia FIKRA JUMUIYA.
Naamini bado sio mpuuzi wewe kuamini kila usikiacho.