Young Tanzanian
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,736
- 293
kwanza wewe ni Muongo 1995 Lowasa ndiye alkuwa kampen meneja wa JK na makinda alkuwa msaidizi na ndiye pekee aliyewapokea airport dodoma JK na Lowasa walipoingia enzi hizo walkuwa wakiitwa Boys 2Men kutokana na kuelewana sana na kukubalika...pili Nyerere si Mungu so yale yalikuwa mawazo yake cz taarfa znazoitwa za kiintelijensia ndzo kila sku znatumika kuthbti watu threat na 2005 hiyo mbnu ilkuwa itumike kummaliza JK ila lowasa akaiwai akaitumia yeye kumbeba kikwete kwa sababu chaguo la mkapa lilikuwa salim ahmed salm na Sumaye...habari ndio hiyo so Nyerere si Mungu ni bnadamu alikuwa na mawzo yake mabaya na mazuri hakuwa malaika..