Niseme tu kuwa huyu mtangazaji napenda haiba yake. Mbali na muonekano wake mzuri lakini ana sauti na uongeaji wa kipekee sana. Ana personality very unique na ukimfuatilia anavyo soma habari au kufanya mahojiano utagundua pia Kichwani yupo Smart sana.
Huyu ni mtangazaji wa pili zao la Star tv/ RFA ambapo nakumbuka kulikuwa na mtangazaji mwingine zamani alikuwa anaitwa Joan Itanisa , Sijui alipotelea wapi naye huyu alikuwa mzuri sana.
Natamani Mamlaka za nchi zimfuatilie IVONA zimuone hata kumpa teuzi au Ubunge viti Maalum. Imagine Sauti ile ikisikika Bungeni.
Huyu ni mtangazaji wa pili zao la Star tv/ RFA ambapo nakumbuka kulikuwa na mtangazaji mwingine zamani alikuwa anaitwa Joan Itanisa , Sijui alipotelea wapi naye huyu alikuwa mzuri sana.
Natamani Mamlaka za nchi zimfuatilie IVONA zimuone hata kumpa teuzi au Ubunge viti Maalum. Imagine Sauti ile ikisikika Bungeni.