Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Kwa wale wanaofahamu utamu wa lugha hebu mniambie kati ya lugha hizi tatu Kiganda cha Uganda, Kinyarwanda cha Rwanda na Kilingala cha Congo.
Ipi ni lugha tamu na nzuli kuongea na yenye lafudhi nzuliii nataka kujifunza baada ya kiswahili niwe na lugha nyingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipi ni lugha tamu na nzuli kuongea na yenye lafudhi nzuliii nataka kujifunza baada ya kiswahili niwe na lugha nyingine
Sent using Jamii Forums mobile app