Jesus 😢Nilikula tungi nikala na bangi
Nikawaambia wanangu hapa Sasa nataka kunywa Damu na ilikuwa ni Kweli kabisa ilikuja stimu ya Kutaka kunywa Damu ya MTU tu.
Nilikuwa kama mnyama na hata macho yalibadirika acha kabisa.Jesus 😢
Sasa baada ya hapo ilikuaje mpka ukatulia ?Nilikuwa kama mnyama na hata macho yalibadirika acha kabisa.
Ndio sababu ya hiyo avatar yangu hapo.
Siku ukitaka kuitumia ni tag nikupe mwongozoUnanitamanisha aisee
Nilienda chooni mana ilikuwa club Sasa wakati najiangalia kwenye kioo cha pale toilet ndio nikaona macho yangu hayako sawa nikarudi nikawambia wanangu naona kama sielewa na Kweli natamani nimng'ate MTU kwenye Shingo ninywe Damu yake.Wakaanza kuniambia mwenetu Leo stimu imekaa Mahala pake.Sasa baada ya hapo ilikuaje mpka ukatulia ?
Lakini hayo sio maamzi magumu nadhani ni pombe ilikuzidi pamoja na bange
Sawa nita kucheki🔥Siku ukitaka kuitumia ni tag nikupe mwongozo
ganja ni kama kisu tu inategemea unakitumiaje!
Siri yakeI hope hawakukuomba utamu☠️💀
Kuhusu macho kubadilika hii hata mimi nina story sio leo lakiniNilienda chooni mana ilikuwa club Sasa wakati najiangalia kwenye kioo cha pale toilet ndio nikaona macho yangu hayako sawa nikarudi nikawambia wanangu naona kama sielewa na Kweli natamani nimng'ate MTU kwenye Shingo ninywe Damu yake.Wakaanza kuniambia mwenetu Leo stimu imekaa Mahala pake.
Pole sana usichanganye pombe na bange aiseee una amsha maruhaniNikarudi toilet Tena kuchek kwenye kioo asee nilikipiga ngumi ya hasira nikakipasua walinzi walikuja baada ya kuitwa mana Kuna watu walikua wanachek Ile movie yangu.
Walinzi walikuwa wananijua wakaniuliza nini shida boss upo Sawa nikawambia Niko Sawa.
Ile Hali ilikuja kutulia baada ya kutoka Damu kwenye kwenye mkono na kuanza kuilamba mana kioo kilinchana.
Isingekuwa kupasua kioo Sjui ingekuwaje asee nawazaga Ile moment staki irudie Tena mana naweza nikanywa Damu ya MTU Kweli.
Sio siri hawakunifanya chochote 👍Siri yake
Finally I know you are ladySio siri hawakunifanya chochote 👍
Heh kwani nina mwandiko wa njemba au🤣🤣Finally I know you are lady
Sasa ulipoandika mara ya mwisho ku do ulidhamiria niniHeh kwani nina mwandiko wa njemba au🤣🤣
Kwenye ule uzi kule jukwaa la mapenzi au😎Sasa ulipoandika mara ya mwisho ku do ulidhamiria nini
SikumbukiKwenye ule uzi kule jukwaa la mapenzi au😎
Hayaa kama hukumbukiSikumbuki
Kitambo saanaKuhusu macho kubadilika hii hata mimi nina story sio leo lakini
Pole sana usichanganye pombe na bange aiseee una amsha maruhani
Nomaa🙌Kitambo saana
binafsi changamoto ninazokumbana nazo katika maisha, huwa nazigeuza na kua fursa muhimu sana ya kujipanga upya, kujisahihisha kujirekebisha, kujisahihisha na hatimae kuziconfront nikiwa very bold na kuhakikisha natoboa kikamilifu.Kwenye maisha ya watu wengi kuna wakati unafika unasema,
I've reached the end of the road!
Yaani unaona kabisa umefika ukomo na njia zote zimeonekana kufungwa
Mara nyingi katika nyakati kama hizo, watu hufanya maamuzi magumu na ya kutisha; maamuzi ambayo wakati mwingine huwaletea mafanikio, na wakati mwingine huwaacha na majuto ya maisha
Je, ni uamuzi gani mgumu au wa hatari uliowahi kufanya baada ya kuona huna chaguo jingine, hata kama moyoni hukupenda kuufanya?
Naanza mimi👇