ITV yatumia picha za mnato kwa Zitto

ITV yatumia picha za mnato kwa Zitto

Ni utoto unawasumbua! leo mnachekelea kwa zitto huenda kesho ikawa zamu yako....huo ni ugomvi wa watu binafsi!

Ukiona manyoya ujue kaliwa! Na ukiona hakuna coverage ya mikutano ya mwanasiasa ajue kapoteza mvuto.
 
Dogo kashafulia
Katoa hela ya mango yeye mwenyewe alafu anayashangaa!
 
Dogo kashafulia
Katoa hela ya mango yeye mwenyewe alafu anayashangaa!

Mbowe na Dr. Slaa wamepoteza mvuto mikutano yao hata hapa jf hairipotiwi, hakuna anaehangaika nao kabisa
 
Ina impact gani kwa Taifa? Yale Majina ya MAFISADI wenye trillions kule Uswis amewataja? au ndo mahaba nitoe roho? Nasikitika kuwa Kigoma imeendelea kutia aibu, alianza Amani Kaborou, Zitto nae ameharibu sana kwa tamaa ya fedha na madaraka kiasi cha kusahau waliomfikisha hapo alipo... Mwenye anajua kuwa huu ndo Mwisho wake kisiasa ... Soon CCM watamdai mabilioni zao za kuihujumu CHADEMA ...
 
Dr. Slaa yuko Kahama hakuna coverage yoyote anayopata kapoteza mvuto kabisa,

Umetazama taarifa ya habari? Au unaandika kumliwaza Zitto? Kama ulichelewa saa mbili angalia muda huu au asubuhi utamuona Rais wa mioyoni mwa watanzania anavyomuamuru mkuu wa wilaya asiibe misaada ya wahanga.
 
Ina impact gani kwa Taifa? Yale Majina ya MAFISADI wenye trillions kule Uswis amewataja? au ndo mahaba nitoe roho? Nasikitika kuwa Kigoma imeendelea kutia aibu, alianza Amani Kaborou, Zitto nae ameharibu sana kwa tamaa ya fedha na madaraka kiasi cha kusahau waliomfikisha hapo alipo... Mwenye anajua kuwa huu ndo Mwisho wake kisiasa ... Soon CCM watamdai mabilioni zao za kuihujumu CHADEMA ...

Chadema imepoteza mvuto kwa watanzania mikutano ya mbowe na slaa kanda ya ziwa imedoda mpaka vyombo vya habari havihaingaiki nayo
 
Umetazama taarifa ya habari? Au unaandika kumliwaza Zitto? Kama ulichelewa saa mbili angalia muda huu au asubuhi utamuona Rais wa mioyoni mwa watanzania anavyomuamuru mkuu wa wilaya asiibe misaada ya wahanga.

Hakuna kitu hata hapa jf hairipotiwi haina wachangiaji kabisa, dr slaa anatia huruma sana
 
hawa ITV wameogopa kuwaonyesha chadema mapokezi aliyopewa zitto, kwani LISSU angekufa kwa pressure pamoja na kibabu bunduki,,,,TANZANIA KWANZA CHADEMA BAADAE
 
Wadau,

Katika taarifa ya habari ya saa mbili usiku huu kwenye kituo cha ITV kulikuwa na Taarifa ya 'Zitto awaaga wapiga kura wake'. Cha kushangaza taarifa imesomwa kituoni tu na pia picha za mnato ndizo zilizotumika.

Kuna maswali mengi ya kujiuliza kuhusiana na habari hii. Je, hakukuwa na waandishi wa picha za mwendo? Kama tulivyoaminishwa kuwa leo angetoa maamuzi magumu! Au kwa kuwa ni dead story ndio maana mwandishi ameyeyusha? Au ni tatizo la MB 8? Au ndio kesha kuwa USED?

Nimeamini siasa si sawa na hesabu, jibu lolote laweza kuwa sawa, inategemea umeangalia wapi.

In politics it can be anything
 
habari za picha mwendi ndio mtindio wa kisasa hata hapa tunatumiana tu kirahisi
 
Back
Top Bottom