ITV imetoa habari iliyokamilika kuhusu mauaji ya mwandishi wa habari, waandishi wa habari walioshuhudia tukio hilo wameeleza bayana tukio hilo kwa kubainisha chazo cha mauaji hayo, na huku wakitoa ushahidi kuhusu jinsi gani marehemu alivyouawa kikatili na jeshi la polisi.
Mwandishi wa kwanza aliyeshuhudia amesema aliona marehemu akipigwa na askari kama nane, na baada ya hapo alioneakana askari mwenye nyota tatu akamkumbatia mwandishi wa habari ili kumnusuru lakini askari Mwingine alimrushia bomu tumboni na kusambatisha tumbo la mwandishi.
Mwandishi wa pili aliyeshudia amesema kuwa aliona marehemu akipigwa na polisi na baada ya hapo alienda kwa RPC kuomba amsaidie kumnusuru yule marehemu na kumuambia yule anayepigwa ni mwandishi wa habari, RPC hakmjibu ila alifungua kioo cha gari na kukifunga tena.
Hata hivyo moja wa ndugu wa marehemu amesema kuwa ni vizuri kila chama kikawa huru kujieleza kwa Wananchi ili Wanainchi wapate fursa ya kuchagua chama wanachokitaka.
Hata hivyo waandishi wa habari wametangaza kusususia shughui zote za polisi kuanzia ile NENDA KWA USALAMA.
Mwandishi wa kwanza aliyeshuhudia amesema aliona marehemu akipigwa na askari kama nane, na baada ya hapo alioneakana askari mwenye nyota tatu akamkumbatia mwandishi wa habari ili kumnusuru lakini askari Mwingine alimrushia bomu tumboni na kusambatisha tumbo la mwandishi.
Mwandishi wa pili aliyeshudia amesema kuwa aliona marehemu akipigwa na polisi na baada ya hapo alienda kwa RPC kuomba amsaidie kumnusuru yule marehemu na kumuambia yule anayepigwa ni mwandishi wa habari, RPC hakmjibu ila alifungua kioo cha gari na kukifunga tena.
Hata hivyo moja wa ndugu wa marehemu amesema kuwa ni vizuri kila chama kikawa huru kujieleza kwa Wananchi ili Wanainchi wapate fursa ya kuchagua chama wanachokitaka.
Hata hivyo waandishi wa habari wametangaza kusususia shughui zote za polisi kuanzia ile NENDA KWA USALAMA.