hasan124
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 716
- 128
Hata hivyo waandishi wa habari wametangaza kusususia shughui zote za polisi kuanzia ile NENDA KWA USALAMA.
Nimeipenda hii.....Hizi ndio hatua za kuchukua kwa jeshi dhalili Kama hili tulilonalo la Polisi. It's a shame kwa uongozi mzima WA Polisi, Shame kwa Wizara husika na Serikali kwa ujumla wake. Aibu na kwa dhambi Hizi hakika 2015 Magamba lazima mng'oke tu.......hamvumiliki. Shame on you peoples.