Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shauri hili halina hadhi ya kwenda the hague, kosa hili halijadondokea kwenye any of the four crimes under the icc statute...can you say this is a widespread and systematic attack against civilian population within the meaning of the icc statute? ili tuseme hii ni crime against humanity? bado haijafikia hadhi hiyo, halafu hata hivyo, bado nchi yetu inayo room kupelekea watu mahakamani kwa at least mwaka mmoja ndio reasonable before the icc gets in...kuna principle kweney article 17 of the icc statute inaeleza principel ya complimentarity, na kama watu watapelekwa mahakamani kwa nia ya kuwashield tu au kama selikali itakuwa serious etc...kwa hili, hawa wataangukia kwenye mahakama zetu hizihizi tu bro.
Mkuu ukaidi upi tena watu wamekwambia haukuwa mkutano wa nje na hata hivyo yule hakuwa muandamanaji ni mwandishi na anajulikana?
kuna mashahidi wawili ambao ni waandishi wa habari waliokuwa na marehemu MWANGOSI (JANA- KATIKA UVUNGUZI WA TAWI LA CHADEMA-IRINGA, MUFINDI) wakati anakamatwa na mapolisi shahidi walikuwa wanaelezea tukio zima itv news usiku huu (sa 2 ) wa kwanza anasema
"marehemu alikamatwa na mapolisi 8, wakampiga sana na marungu kwa mda mrefu kila upande wa mwili wake, akatokea polisi wa nyota tatu akawasihi hao polisi 8 wamwachie marehemu lakini haikufaa kitu akatokea polisi mmoja akaja kwa nyuma ya yule aliyekuwa akiwazuia wasiendelee kumpiga marehe akamfyatulia risasi marehemu na kumtawanya utumbo na bomu hilo likamvunja mguu hata huyo polisi aliyekuwa akiwazuia wasimuue.
Shahidi wa pili anasema
Yeye (huyo shahidi-ambaye pia ni mwandishi wa habari)alipoona marehemu anapigwa alikimbilia kutoa taarifa kwa mkuu wa mapolisi waliokuwa katika eneo hilo la tukio huyo mkuu wao alikuwa katika gari akiwa kafunga viooo huyo shuhuda ambaye naye ni mwandishi alipofika hapo akagonga kioo cha gari ili huyo afisa wa polisi afungue, alipofungua huyo mwandishi akamweleza tafadhali naomba msaada wako mkuu yule anayepigwa pale ni mwandishi wa habari, tafadhali naomba msaaada wako huyo afisa hakumsikiliza akarock kiooo.
Ndio maaana nawahuliza hao (Majebere, mwiba na wengineo) wapenda uozo na mauaji ya polisi wameyasikia haya (Ushahidi toka kwa watu wailiokuwa eneo la tukio)? na kuangalia tv... maana wao sijui wanamioyo gani hawa watu ni zaidi ya wanyama kila wakati wao ni kuwatetea polisi hata uweke ushahidi wazi kiasi gani.
Imeniuma sana wakuu SORRY KWA ALIYEKWAZIKA JINSI NILIVYOLIPOTI NI HASIRA JUU YA HAO WATU
Mkuu kauli zake huyu mwandishi ndio zinafahamika, huyu ni mwanachama mtiifu wa CDM na hilo linafahamika. Kwa hiyo uandishi ilikuwa just cover tu.
Majibu karibu yote utayapata baada ya tume kufanya uchunguzi, vuta subira. Lakini kumbuka kuwa matukio yote yamefanyiwa uchunguzi lakini watanzania wanatabia ya kusahau haraka sana, hata hili tukio litasahaulika pamoja na kwamba uchunguzi utaisha na maelezo yote yatakuwepo.Mkuu majebere naomba nikuulize maswala haya
1. Nipe majibu ya tume iliyoundwa juu ya wale watu waliouwa pale songea wakati walipokuwa wakienda kwa rc
2. Niambie umeanza lini kusikia malalamiko ya watu wa nyamongo juu ya polisi kufanya mauaji ya watanzania wenzetu na hata kufikia hatua ya polisi hao kutupa miili ya marehemu barabarani? Je ni hatua gani zilichukuliwa hata baada ya kamati kuundwa?
3. Niambie jana jimbo la bubu-zanzibar makamu wa rais alikuwa na mkutano wa hadhara je zanzibar hakuana sensa? Au zanzibar si tanzania au hizi sheria zinalimitation
4. Jana kulikuwa na tamasha la fiesta mwanza mpaka sa 3 usiku, je mwanza sio tanzania? Hakuna sensa?/
5. Unafahamu kuwa morogoro wilaya ya mvomero amos makala (mb) anaendelea na mikutano yake kama kawaida je mvomero sio tanzania hakuna sensa? Hakuna sensa?
6. Unafahamu kwamba polisi na chadema walikubaliana kutokufanya mikutano lakini waliruhusiwa kufanya mikutano ya ndani na kufungua matawi, je tukio lile lilitokea katika mkutano upi?
7. Niambie ni polisi gani aliyechukuliwa hatua tangu mwakyembe alipoanza kulipoti juu ya mkakati wa baadhi ya watu kutaka kumuua hata kutaka kumuua kwa sumu, na ndipo baadaye mwanahalisi kuja kueleza kwa upana wake, je ni nini kilifanyika?
Nijibu hayo kwanza maana nona unaleta masihala hapa
Hao mashahidi wamepandikizwa, na unaposema alipigwa bomu kwa nyuma utumbo ukatoka na akakatika vipande vipande,hilo ni bomu gani,la machozi au RPG. Mimi nashaka sana na hao mashahidi wako, lazima watakua wametumwa kudanganya umma. Sisi tunasubiri uchunguzi ufanyike kwanza.
Ukijitambulisha kwa uwazi kama msemaji wa serikali/polisi watu watakuelewa ila kama unatoa mawazo yako kama individual ndio unapokuja mshangao wa wengi hapa JFuna uhakika gani kama wanafaa kuwa mashahidi?mtu yeyote anaweza kujitokeza na kusema ameona yote yalio tokea
shukrani kwa taarifa hii mkuu,maneno hayo,tuliwaambia kina Zomba exactly kama hao mashahidi walivyosema,just by looking at the pictures,and knowing the police very well,basi I was right.They've said it exactly what we thought went down.kuna mashahidi wawili ambao ni waandishi wa habari waliokuwa na marehemu MWANGOSI (JANA- KATIKA UVUNGUZI WA TAWI LA CHADEMA-IRINGA, MUFINDI) wakati anakamatwa na mapolisi shahidi walikuwa wanaelezea tukio zima itv news usiku huu (sa 2 ) wa kwanza anasema
"marehemu alikamatwa na mapolisi 8, wakampiga sana na marungu kwa mda mrefu kila upande wa mwili wake, akatokea polisi wa nyota tatu akawasihi hao polisi 8 wamwachie marehemu lakini haikufaa kitu akatokea polisi mmoja akaja kwa nyuma ya yule aliyekuwa akiwazuia wasiendelee kumpiga marehe akamfyatulia risasi marehemu na kumtawanya utumbo na bomu hilo likamvunja mguu hata huyo polisi aliyekuwa akiwazuia wasimuue.
Shahidi wa pili anasema
Yeye (huyo shahidi-ambaye pia ni mwandishi wa habari)alipoona marehemu anapigwa alikimbilia kutoa taarifa kwa mkuu wa mapolisi waliokuwa katika eneo hilo la tukio huyo mkuu wao alikuwa katika gari akiwa kafunga viooo huyo shuhuda ambaye naye ni mwandishi alipofika hapo akagonga kioo cha gari ili huyo afisa wa polisi afungue, alipofungua huyo mwandishi akamweleza tafadhali naomba msaada wako mkuu yule anayepigwa pale ni mwandishi wa habari, tafadhali naomba msaaada wako huyo afisa hakumsikiliza akarock kiooo.
Ndio maaana nawahuliza hao (Majebere, mwiba na wengineo) wapenda uozo na mauaji ya polisi wameyasikia haya (Ushahidi toka kwa watu wailiokuwa eneo la tukio)? na kuangalia tv... maana wao sijui wanamioyo gani hawa watu ni zaidi ya wanyama kila wakati wao ni kuwatetea polisi hata uweke ushahidi wazi kiasi gani.
Imeniuma sana wakuu SORRY KWA ALIYEKWAZIKA JINSI NILIVYOLIPOTI NI HASIRA JUU YA HAO WATU
mimi nikuulize, hakimu akifanya kosa hapelekwi mahakamani, au wao kesi zao zinasikilizwa na mtu tofauti? Kama kuna polisi wameua kwa kukusudia basi watashitakiwa, hii ndio kazi ya polisi hata kama watuhumiwa pia ni polisi.Uchunguzi unaofanywa na Police wenyewe, ukisimamiwa na wao wenyewe ili kubaini kama wao wenyewe wameua ! Mh, Mhhhhhh ! Mh ....Kwamba panya waende kuchunguza ili kubaini kama kweli panya hao wamekula mahindi !?? Mh !
naona bongo CSI mko wengi.shukrani kwa taarifa hii mkuu,maneno hayo,tuliwaambia kina Zomba exactly kama hao mashahidi walivyosema,just by looking at the pictures,and knowing the police very well,basi I was right.They've said it exactly what we thought went down.
Acha kuongea kama unaharisha we mpumbavu,,,hapa tunazungumzia uhai wa mtu uliopotezwa!Tatizo sio polisi, tatizo hiki chama kisichotii sheria za nchi. kifo ni just matokeo ya huu ukaidi.
Hao mashahidi wamepandikizwa, na unaposema alipigwa bomu kwa nyuma utumbo ukatoka na akakatika vipande vipande,hilo ni bomu gani,la machozi au RPG. Mimi nashaka sana na hao mashahidi wako, lazima watakua wametumwa kudanganya umma. Sisi tunasubiri uchunguzi ufanyike kwanza.