ITV vs Rais Magufuli na CCM

ITV vs Rais Magufuli na CCM

Status
Not open for further replies.
Habari JFGT,

Nimefuatilia kwa ukaribu nimeona ITV wana-report habari za Mkuu wa nchi na majeshi yake Rais JPM katika hali isiyompa umuhimu au uzito. Hii tafsiri yake ni nini?

Mfano, siku Mh Rais amelihutubia bunge na kutoa hotuba "ya kihistoria" iliyojaa uzalendo na kufufua matumaini, hotuba iliyogusa mambo nyeti kabisa yanayoisumbua nchi hii kama dawa za kulevya, ufisadi na ukwepaji kodi, taarifa ya habari saa mbili jioni habari ile ilisomwa kama ya tano au sita karibu na mwisho wa habari za kitaifa.

Nilikuwa bar muda huo watu waligeukia TV wakiamini habari hiyo itakuwa mwanzo kama ilivyozoeleka kipindi cha JK ambapo habari zake mara nyingi zilipewa kipaumbele kutangazwa mwanzo lakini walisubiri mpaka wakarudi kula maji tu. Hii ni nini??

Pia, juzi makamu wa Rais Mama Samia alikutana na Wanawake ofisini kwake kwa tukio la kikazi, habari hiyo ilisomwa mwisho-mwisho.

Anyway, siku Mh Rais au Makam au PM wakiwa na habari better niangalia TBC. Nahisi kuna element za mihemko na husuda.
Ila inabaki kuwa "uchaguzi umeisha, Rais ni JPJM".

Wanaisoma number tu sasa watu wa level ya kina Bade na bado!

Salute Mheshimiwa Rais!

Wacha chuki za kijinga wewe!..unafikiri wewe tu ndo unayeangalia TV?..they ar reporting haya mambo perfectly well...they are professionals hawaendeshwi na mihemko ya kijinga kama wewe!....to hell na mikakati yako ya kuleta chuki katika jamii yetu
 
Habari JFGT,

Nimefuatilia kwa ukaribu nimeona ITV wana-report habari za Mkuu wa nchi na majeshi yake Rais JPM katika hali isiyompa umuhimu au uzito. Hii tafsiri yake ni nini?

Mfano, siku Mh Rais amelihutubia bunge na kutoa hotuba "ya kihistoria" iliyojaa uzalendo na kufufua matumaini, hotuba iliyogusa mambo nyeti kabisa yanayoisumbua nchi hii kama dawa za kulevya, ufisadi na ukwepaji kodi, taarifa ya habari saa mbili jioni habari ile ilisomwa kama ya tano au sita karibu na mwisho wa habari za kitaifa.

Nilikuwa bar muda huo watu waligeukia TV wakiamini habari hiyo itakuwa mwanzo kama ilivyozoeleka kipindi cha JK ambapo habari zake mara nyingi zilipewa kipaumbele kutangazwa mwanzo lakini walisubiri mpaka wakarudi kula maji tu. Hii ni nini??

Pia, juzi makamu wa Rais Mama Samia alikutana na Wanawake ofisini kwake kwa tukio la kikazi, habari hiyo ilisomwa mwisho-mwisho.

Anyway, siku Mh Rais au Makam au PM wakiwa na habari better niangalia TBC. Nahisi kuna element za mihemko na husuda.
Ila inabaki kuwa "uchaguzi umeisha, Rais ni JPJM".

Wanaisoma number tu sasa watu wa level ya kina Bade na bado!

Salute Mheshimiwa Rais!

You are not constructive!
 
Habari JFGT,

Nimefuatilia kwa ukaribu nimeona ITV wana-report habari za Mkuu wa nchi na majeshi yake Rais JPM katika hali isiyompa umuhimu au uzito. Hii tafsiri yake ni nini?

Mfano, siku Mh Rais amelihutubia bunge na kutoa hotuba "ya kihistoria" iliyojaa uzalendo na kufufua matumaini, hotuba iliyogusa mambo nyeti kabisa yanayoisumbua nchi hii kama dawa za kulevya, ufisadi na ukwepaji kodi, taarifa ya habari saa mbili jioni habari ile ilisomwa kama ya tano au sita karibu na mwisho wa habari za kitaifa.

Nilikuwa bar muda huo watu waligeukia TV wakiamini habari hiyo itakuwa mwanzo kama ilivyozoeleka kipindi cha JK ambapo habari zake mara nyingi zilipewa kipaumbele kutangazwa mwanzo lakini walisubiri mpaka wakarudi kula maji tu. Hii ni nini??

Pia, juzi makamu wa Rais Mama Samia alikutana na Wanawake ofisini kwake kwa tukio la kikazi, habari hiyo ilisomwa mwisho-mwisho.

Anyway, siku Mh Rais au Makam au PM wakiwa na habari better niangalia TBC. Nahisi kuna element za mihemko na husuda.
Ila inabaki kuwa "uchaguzi umeisha, Rais ni JPJM".

Wanaisoma number tu sasa watu wa level ya kina Bade na bado!

Salute Mheshimiwa Rais!

ni kweli mkuu imewauma sana tinatinga kushinda wasubiri miaka 100
 
Tatizo lako ulikua baa,hotuba ilirudiwa yote ussiku.
Ukitaka habari za kusifia hicho unachokipenda fungulia Starccm, bw.Diallo atakufurahisha
 
Nafikiri ni muhimu kuwa objective kidogo. Inawezekana habari ikawa muhimu sana lakini isifanywe ya kwanza licha ya kuwa kwenye muhtasari ndio iliyoonekana kubeba habari zote.
Mimi sio mwandishi ila nilichojifunza kwa ozoefu kuna wakati habari hiyo hucheleweshwa makusudi ili kuwafanya watu waendelee kuitazama chaneli husika kwa kuwa watakuwa na shauku ya kupata habari kuu. So wakati mwingine ni mkakati tu wa chombo cha habari kwakuwa wanaweza kuionesha na baada ya hapo watu wakabadilisha chaneli na kupotea kabisa.
Hata hivyo inaweza kuwa ni utaratibu wao tu bila au kwa sababu zozote wazijuazo wao ila nafikiri tusichukulie kila jambo kimtizamo hasi.

Kula LIKE zangu 1,000.
 
Mkuu hawa jamaa wanaweza kuwa na mapungufu yao
ila sio kwa kiwango kama cha TBCCM , yaani hao hao
jamaa wa itv ukiangalia habari ya jana ya kukamatwa
kwa maofisa wa TRA hakika nilipenda sana ile habari.

hakika!..huo 'ufuatiliaji wake wa karibu' angalau ungeonesha tukio la karibuni kabisa!
...afterall,hotuba ya ufunguzi wa bunge ya Mh.Rais ilioneshwa live..,na kusomwa mwishoni inatoa fursa kwa habari zingine pia zitufikie...
 
Last edited by a moderator:
Eti "NILIKUWA BAA" as if ni sifa. Wahi nyumbani kajiunge na familia kuona kinachojiri nchini na duniani. na nyie ndo mnawafanya waweke habari mwishomwisho ili kuwasaidia mnapomalizia round za mwisho. WAHI NYUMBANI...
 
Endelea kuangalia *TV na TBC ndo zinakufaa. Achana na TV za viwango km ITV.



Habari JFGT,

Nimefuatilia kwa ukaribu nimeona ITV wana-report habari za Mkuu wa nchi na majeshi yake Rais JPM katika hali isiyompa umuhimu au uzito. Hii tafsiri yake ni nini?

Mfano, siku Mh Rais amelihutubia bunge na kutoa hotuba "ya kihistoria" iliyojaa uzalendo na kufufua matumaini, hotuba iliyogusa mambo nyeti kabisa yanayoisumbua nchi hii kama dawa za kulevya, ufisadi na ukwepaji kodi, taarifa ya habari saa mbili jioni habari ile ilisomwa kama ya tano au sita karibu na mwisho wa habari za kitaifa.

Nilikuwa bar muda huo watu waligeukia TV wakiamini habari hiyo itakuwa mwanzo kama ilivyozoeleka kipindi cha JK ambapo habari zake mara nyingi zilipewa kipaumbele kutangazwa mwanzo lakini walisubiri mpaka wakarudi kula maji tu. Hii ni nini??

Pia, juzi makamu wa Rais Mama Samia alikutana na Wanawake ofisini kwake kwa tukio la kikazi, habari hiyo ilisomwa mwisho-mwisho.

Anyway, siku Mh Rais au Makam au PM wakiwa na habari better niangalia TBC. Nahisi kuna element za mihemko na husuda.
Ila inabaki kuwa "uchaguzi umeisha, Rais ni JPJM".

Wanaisoma number tu sasa watu wa level ya kina Bade na bado!

Salute Mheshimiwa Rais!
 
Hiyo ni market plan.... sometimes wakiweka habari nyeti mwanzoni ikiisha watu wanahama
 
Ni kweli. ITV hawatoi kipaumbele habari za Rais JPM. Hata jana Habari TRA na bandari haikuwa ya kwanza.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom