chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,359
- 27,739
Nimelazimisha nini mkuu, mbona povu?Usilazimishe watu kama vipi pita taratibu. Mtoa mada kasema kaona mende.
Kwa hiyo jamaa ndio mara yake ya kwanza kuona mende siyo?
Nimelazimisha nini mkuu, mbona povu?Usilazimishe watu kama vipi pita taratibu. Mtoa mada kasema kaona mende.
Hahaaaaaa. eti tembo kakatizaJama, Inzi, mbu, mende, sisimizi, mijusi, kunguru, ndege hawa ni viumbe ambao hutegemea riziki kutoka kwa binadamu. Nadhani ungeona Simba, au Chui, au Tembo kakatiza, hiyo nadhani ingekuwa habari.
Mbona kukuta uchafu barabarani sio habari?
unaogopa mende wa ITV mkuu?bado mnaangaliaga ITV news mi nimehamia Azam two kitambo sana
Habari wanajamvi,
Taarifa ya habari ya Leo 8/7/2017, wakati wa Habari za Michezo hususani habari kuhusu UCHAGUZI WA SOKA LA WANAWAKE TANZANIA. Wakati msimazi wa Uchaguzi akiongea nimeona Mende nyuma ya muongeaje akiranda randa mlangoni.
Mh!..
HahahahaUngepiga kelele wamuue maana mende ni hatari kwa afya yako.