dafity
JF-Expert Member
- Aug 16, 2008
- 1,881
- 2,091
Habari wa JF. Kwanza nawapongeza ITV Tanzania kwa kuweka wawakilishi wao nchi kadhaa za Afrika Mashariki. Kenya-Dennis Musundi, Rwanda-Bryceson Bichu, DRC-Austerie Marivika, siwakumbuki wa Burundi South Sudan na Uganda.
Lakini ITV WAMEGOMA KABISA KUTANGAZA HABARI ZA NCHI ZINGINE NJE YA AFRIKA MASHARIKI. Kamwe hutasikia habari za Ubelgiji, North Korea, Malawi, Argentina nk. Hata kutokee habari inayoshika Dunia wao huenda usiisikie kwao. Kwa mtazamo wangu hii inawapunguzia ubora wao. Nina mashaka na u Super Brand wao huenda ukaingia dosari.
Ushauri wangu kwao: Wabadilike kulingana na wakati na kuona wateja (watazamaji) wana hitaji nini.
Nawasilisha
Lakini ITV WAMEGOMA KABISA KUTANGAZA HABARI ZA NCHI ZINGINE NJE YA AFRIKA MASHARIKI. Kamwe hutasikia habari za Ubelgiji, North Korea, Malawi, Argentina nk. Hata kutokee habari inayoshika Dunia wao huenda usiisikie kwao. Kwa mtazamo wangu hii inawapunguzia ubora wao. Nina mashaka na u Super Brand wao huenda ukaingia dosari.
Ushauri wangu kwao: Wabadilike kulingana na wakati na kuona wateja (watazamaji) wana hitaji nini.
Nawasilisha