ITV mmempandisha Daladala Mkurugenzi Wangu

ITV mmempandisha Daladala Mkurugenzi Wangu

Kama tunavyojua jana Makonda alitengua agizo la polisi kuhusu Magari ya tinted.

Gari ya mkurugenzi wangu ina -Tinted na alikuwa anajiandaa kutii agizo la police la kuondoa tinted.
Mkurugenzi wangu huwa anaangalia taarifa ya habari ya ITV peke yake kwa vile anaamini huwa kinatangaza habari za uhakika na kwa kuwa yuko busy pia.
Bahati mbaya jana hakuona hilo agizo la Mkuu wa mkoa hivyo leo ameliacha gari nyumbani ili fundi aje akalitoe tinted.

Alipopanda daladala njiani anashangaa kuona tinted ziko kibao na watu wakaanza kuliongelea hilo agizo alishangaa yeye hakuona kwenye taarifa ya habari.

Sasa hapa ofisini watu wanamwambia wao waliona Chanel ten na wengine TBC wengine Startv n.k.. Bahati nzuri mi binafsi niliona Channel ten.

Kwa niaba ya mkurugenzi wangu nimeona nifikishe ujumbe huu kwa ITV.
Kwani hilo tamko lilitolewa ITV ???huko alikoliona ndo alitakiwa akaone nautenguzi wake .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu kama nilivyo sema. Ni kweli kwamba mkurugenzi wangu alikuwa yuko busy sana week iliyo pita hadi hapa anamalizia kuandaa taarifa. Hivo yuko busy sana.
Hakuweza hata kupitia mitandao ya kijamii hata sisi tulijua ameshaoa ila kwa kuwa alikuwa busy habari hiyo imempita.
Alijuaje zimepigwa marufuku at first place?
 
Huyo sio mkurugenzi ni mtumwa na atatumbuliwa muda si mrefu!
Rais wa nchi halali bila kupitia mitandao yotee ya kijamii...huyo mtumwa a.k.a mkurugenzi wako yuko busy kuliko mtukufu rais wetu?
 
Star uwa nachek BBC tyu iyo chanell ten siiijui ..ITV daily

sent from my iPhone 6
 
Kama tunavyojua jana Makonda alitengua agizo la polisi kuhusu Magari ya tinted.

Gari ya mkurugenzi wangu ina -Tinted na alikuwa anajiandaa kutii agizo la police la kuondoa tinted.
Mkurugenzi wangu huwa anaangalia taarifa ya habari ya ITV peke yake kwa vile anaamini huwa kinatangaza habari za uhakika na kwa kuwa yuko busy pia.
Bahati mbaya jana hakuona hilo agizo la Mkuu wa mkoa hivyo leo ameliacha gari nyumbani ili fundi aje akalitoe tinted.

Alipopanda daladala njiani anashangaa kuona tinted ziko kibao na watu wakaanza kuliongelea hilo agizo alishangaa yeye hakuona kwenye taarifa ya habari.

Sasa hapa ofisini watu wanamwambia wao waliona Chanel ten na wengine TBC wengine Startv n.k.. Bahati nzuri mi binafsi niliona Channel ten.

Kwa niaba ya mkurugenzi wangu nimeona nifikishe ujumbe huu kwa ITV.
Huyo ni mkurugenzi wa karne ipi asiyekuwepo kwenye social media? Mbona kote habari ilisambaa mitandaoni kwa sekunde kadhaa baada ya tamko la RC? Mwambie asiwe anti-social!
 
Huyo ni mkurugenzi wa karne ipi asiyekuwepo kwenye social media? Mbona kote habari ilisambaa mitandaoni kwa sekunde kadhaa baada ya tamko la RC? Mwambie asiwe anti-social!
Ndo ivyo asee, Sema alikuwa busy sana asee.
 
Huyo mkurugenzi wako jipu, hata JF haingii?
 
Hv Huu Utumwa Wa Kifikra Tutaacha Lini Yan Mkulugenz Wako Anakuweka Roho Juu Mpaka Kukilaumu Chombo Kikubwa Kama Itv Kaangalie Kuna Nchi Rais Anapanga Folen Ebu Acha Utumwa Kwan Kachubuka Alivopanda Daladala
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom