ITV mmempandisha Daladala Mkurugenzi Wangu

ITV mmempandisha Daladala Mkurugenzi Wangu

Hii ni kuwachafua ITV bure, ieleweke ITV hawana muda wa kuripoti taarifa za Bashite. Msimamo ni uleule
 
Bilashaka kuendelea kuzuia uoneshwaji wa taarifa za Makonda sehemu nyingine,Chanel ten inazidi kujiongezea wanaoiangalia hiyo TV.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe makonda alitengua, anatafuta sifa tu amechelewa sana
mkuu, inasemekana ni yale yale mambo yetu ya kiki.

taarifa za uhakika zinanyetisha kuwa ni yeye ndiye aliyemwagiza Mkondya atangaze akijua fika kuwa ni unpopular decision ili baadae atengue kama alivyofanya na kupata credit.

nchi hii ipo siku watu zitajapigwa kavukavu hakianani!!
 
ITV hata mimi nawapotezea siku hizi, hawana dili
ITV siku izi wanazingua sana. Wenyewe kazi kuonyesha mauaji ya wafugaji na wakulima. Badala ya kuonyesha na vitu vya maendeleo lakini kuikosoa nchi, wanachofanya ni sawa kukosoa lakini kwenye kusifia wasifie pia.
Kwanzaa namshangaa sana Mzee Mengi, yeye kasomea masomo ya biashara alafu anashindwa kuongea na uongozi wa vipindi vya ITV na EATV hata kuwepo na vipindi vya biashara{Business News}
Yaani media nyingi za Tanzania za kipuuzi puuzi tuu kuanzia TBC, chanel ten, star TV, itv, eatv mpaka clouds media zote ni media za kipuuzi puuzi zinashindwa kuwa na vipindi vya biashara na uchumi wenyewe ni Bongo Flaviour
Wenzetu wana mikakati ya uchumi na biashara lakini Tanzania hakuna vipindi vya kuzungumzia maswala ya biashara na uchumi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom