cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 28,902
- 78,952
Hii inaleta picha fulani kuwa JPM aliamua kumleta mmoja wao kwenye cabinet yake ili ampate na kumuonyesha mengi bila yeye kujijua. Ilipofika muda wake wa kutemwa akamtema kwa njia hiyo aliyomtema.
Sasa hao wanaopiga kelele kuwa wao ndio wameongea tangu, kumbe kuna wengine wengi walipigania ya wanyonge.
Naanza kujifunza mengi juu ya JPM ni level ingine Raisi wetu, sijutii kupenda kumfatilia yake hadi peo nimependa kujia mengi ya serikali, siasa etc
Nilianza tangu akiwa Waziri nilipoona ile alienda kukagua harabara akampigia mmoja aliyemjibu yupo pale alipo.... ha ha haaa na JPM ndio alikuwa pale. Akicheka nawe haimaanishi upo salama kwake bali ni ile ya "keep your ... closer"
Hotuba yake ya leo akiwa Kibaha wengi hawalali vizuri usiku huu
Tumsapoti na kumpa thumbs up, atatufikisha na movie zitazidi kuwa nyingi tu. Tuzidi kumuombea
Magufuli 2020
Magufuli oyeeeeeee
Sasa hao wanaopiga kelele kuwa wao ndio wameongea tangu, kumbe kuna wengine wengi walipigania ya wanyonge.
Naanza kujifunza mengi juu ya JPM ni level ingine Raisi wetu, sijutii kupenda kumfatilia yake hadi peo nimependa kujia mengi ya serikali, siasa etc
Nilianza tangu akiwa Waziri nilipoona ile alienda kukagua harabara akampigia mmoja aliyemjibu yupo pale alipo.... ha ha haaa na JPM ndio alikuwa pale. Akicheka nawe haimaanishi upo salama kwake bali ni ile ya "keep your ... closer"
Hotuba yake ya leo akiwa Kibaha wengi hawalali vizuri usiku huu
Tumsapoti na kumpa thumbs up, atatufikisha na movie zitazidi kuwa nyingi tu. Tuzidi kumuombea
Magufuli 2020
Magufuli oyeeeeeee