Kikwete, Mkapa, Simba trust, ni wanyonge??
Kwa hiyo unamaana watu wote walale wamwachie magu afanye kazi za uongozi peke yake? Nini hatima yake?
Fahamu kwamba hakuna mtu malaika wala wakamilifu. WAtu hukamilika kwa kuthamini na kukubali michango mizuri kutoka kwa wengine. Michongo hiyo inapochukuliwa na kuwekwa pamoja na kisha kuchambuliwa na kuratibiwa, huimarisha ufanisi na huongeza ubora wa uongozi wa mtu.
Hakuna mtu mmoja atafanay kila kitu kwa kutumia kichwa chake peke yake, afae kuwa kiongozi wa watu wengi.
Na wewe na watu wa ina yako mnapashwa kulijua hilo. Tunahitaji raisi atumie elimu, stadi, na vipaji vizuri vya watu mbalilmbalil katika nchi ili kuboresha mafanikio ya uongozi wake kwa maslahi ya taifa.
Hapo hapo, magu siyo Mungu, wala si malaika. Anaujasiri na kuna uzuri fulani katika ubabe wake lakini kuna hatari kubwa katika ku marginalize professionalism, ku provoke maumivu ya watu, ku ignore feelings za watu, ku undermine umuhimu wa mihimili mingine na kuimiliki. Aidha magu anatatizo katika maamuzi na ni kwa sababu ya uwezo wa ku control emotions ambao unatindika. Kwa mantiki hiyo ni kwamba ili afanye vizuri zaidi, anahitaji kuchangaya uwezo wake mzuri na uwezo wa watu wengine ili pia kuziba mapengo ya udhairfu wake na pia kuongeza kazi ya mafanikio.
Kwa walisome leadership wananielewa.
Mchana mwema.
Kwa hiyo unamaana watu wote walale wamwachie magu afanye kazi za uongozi peke yake? Nini hatima yake?
Fahamu kwamba hakuna mtu malaika wala wakamilifu. WAtu hukamilika kwa kuthamini na kukubali michango mizuri kutoka kwa wengine. Michongo hiyo inapochukuliwa na kuwekwa pamoja na kisha kuchambuliwa na kuratibiwa, huimarisha ufanisi na huongeza ubora wa uongozi wa mtu.
Hakuna mtu mmoja atafanay kila kitu kwa kutumia kichwa chake peke yake, afae kuwa kiongozi wa watu wengi.
Na wewe na watu wa ina yako mnapashwa kulijua hilo. Tunahitaji raisi atumie elimu, stadi, na vipaji vizuri vya watu mbalilmbalil katika nchi ili kuboresha mafanikio ya uongozi wake kwa maslahi ya taifa.
Hapo hapo, magu siyo Mungu, wala si malaika. Anaujasiri na kuna uzuri fulani katika ubabe wake lakini kuna hatari kubwa katika ku marginalize professionalism, ku provoke maumivu ya watu, ku ignore feelings za watu, ku undermine umuhimu wa mihimili mingine na kuimiliki. Aidha magu anatatizo katika maamuzi na ni kwa sababu ya uwezo wa ku control emotions ambao unatindika. Kwa mantiki hiyo ni kwamba ili afanye vizuri zaidi, anahitaji kuchangaya uwezo wake mzuri na uwezo wa watu wengine ili pia kuziba mapengo ya udhairfu wake na pia kuongeza kazi ya mafanikio.
Kwa walisome leadership wananielewa.
Mchana mwema.
Magu kaletwa na Mungu kuleta usawa na kutetea wanyonge