Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,774
- 54,845
Ile ndo ilikuwa mieleka sasa akina Goldberg, the Undertaker sio poa enzi hizoAkina British bull dog, Tatanka,
Ile ndo ilikuwa mieleka sasa akina Goldberg, the Undertaker sio poa enzi hizoAkina British bull dog, Tatanka,
21jump streetNakumbuka enzi hizo nimemaliza la saba, tunaishi kurasini shimo la udongo. Mshua alikuwa tra alinunua hitach flani hivi mtaa mzima tv ilikuwepo kwetu tu. Na ilikuwa unailipia kila mwaka sijui kama ilivo bunduki.
Sio Misanya BingiKuna yule brazamen alikuwa anatangaza kipindi cha hiphop,ana photoshop yupo na kina snoop na P diddy afu kakaaa pembeni jamaaa alikuwa na swagaaaaa yuleeeee.
Na nyamayaoMambo hayo ITV... Bishanga Bashaija na Waridi
Liiiiiviiiiiing siiiiiingleeeee 🎶🎶 nimekumbuka kinyimbo chakeseries ilitoka 1993-1998 unaikumbuka ITV
View attachment 2482750
Namuona uncle J hapo R.I.P brotherKikosi kazi enzi hizo cha ITV na redio OneView attachment 2477759
Hii tamthilia waliikatisha ndio wakaleta IsidingoYeah! Egoli the place of gold