ITV bakizeni akiba ya ushabiki

hatumchagui magufuli sio kwa sababu mchafu ni msafi na hana kashfa yoyote ila mfumo wa chama chake ndio hatuutaki so ndio maana tutampata fisad lowasa kula kwa kua ni mchafu yeye binafsi lakini mfumo yani chama alichonacho sasa ivi fresh na ni system mpya ngoja ije kwanza
 

Si Kweli acha hizo Ulitaka ITV wafumbie macho Uovu wa CCM? ITV wana balance habari wanatangaza habari za vyama vyote bila Upendeleo. Wewe umekariri Tabia za TBC za kung'ang'ania habari za CCM pekee kwani wao hawajui kuwa Ukawa wanaweza kuingia ikulu?
 
Ulisha wahi kulalamikia TBC ,tulia tuli kitu kitu kiingie ,
 
Kikosi Chetu CCM Cha Ushindi Cha Watu 32 Umekiona Lakini? Nina Uhakika Tayari Kisaikolijia Mmeshaathirika Na Hicho Kikosi Cha Maangamizi Na Hapo Bado Ule Utabiri Wa Kinajimu Kuwa Kuna Mgombea Mmoja Mbishi Na Mzee Ataanguka Ghafla Na Kuresti Ini Pisi.

Mtakufa nyinyi maana tayari mmeshajiaminisha kuwa mambo yataenda kama kawaida kwa miaka yote 54 ya uhuru, mkimsimamisha mtu basi ndiye huyo anakuwa rais wa nchi,mwaka huu mtaipata fresh
 
Shida yenu CCM mnafikiri nchi hii sasa ni kama mke wenu mnatenda ujinga mnavyotaka.najua kuwa mnahofu kwamba kama nchi itakwenda upinzani ulaji wenu wa kisanii ndio utakuwa mwisho
 
Mkuu ITV ni mali ya mchaga na chadema ni chama cha wachaga kwanini wasipendelee?
 
TBC ndiyo wana Tabia Mbovu sana ya kubagua habari za Ukawa na kuendelea za CCM lakini siku ukawa wakiingia ikulu TBC itauzwa kwa watu binafsi kisha wafanyakazi wote kustaafishwa.
 
Si Kweli acha hizo Ulitaka ITV wafumbie macho Uovu wa CCM? ITV wana balance habari wanatangaza habari za vyama vyote bila Upendeleo. Wewe umekariri Tabia za TBC za kung'ang'ania habari za CCM pekee kwani wao hawajui kuwa Ukawa wanaweza kuingia ikulu?

Jibu sawa kabisa
 
Si Kweli acha hizo Ulitaka ITV wafumbie macho Uovu wa CCM? ITV wana balance habari wanatangaza habari za vyama vyote bila Upendeleo. Wewe umekariri Tabia za TBC za kung'ang'ania habari za CCM pekee kwani wao hawajui kuwa Ukawa wanaweza kuingia ikulu?

Kwani Ukawa wakiingia madarakani si TBC itakuwa ya kwao sasa, tatizo liko wapi!
 

Mna tbccm.... Kelele za nini?
 
hoo kamati mnafikiri harusi hii kutaka kumwoa mwali TANZANIA,i wish ungetambua maana ya demokrasia usingezungumza unafiki.pole sana ccm, SAFARI HII KAMPENI PIGIENI WAKE ZENU NAAMINI MTAFANIKIWA
 
Shida yenu CCM mnafikiri nchi hii sasa ni kama mke wenu mnatenda ujinga mnavyotaka.najua kuwa mnahofu kwamba kama nchi itakwenda upinzani ulaji wenu wa kisanii ndio utakuwa mwisho

Na wana hofu kubwa kuondoka madarakani maana wanajua kuwa siri zao na uhovu wao woote ndio utajukikana,wataikimbia nchi mwaka huu
 

Wanataka sifa
 
Mkuu ITV ni mali ya mchaga na chadema ni chama cha wachaga kwanini wasipendelee?

TBC ni mali ya kabla gani? Mbona inapendelea CCM pekee? Acha Uongo ITV haipendelei ukawa kwanza huwa inaanza na habari za CCM kabla ya habari za ukawa wanawapa CCM kipaumbele sana.
 
TBC ndiyo wana Tabia Mbovu sana ya kubagua habari za Ukawa na kuendelea za CCM lakini siku ukawa wakiingia ikulu TBC itauzwa kwa watu binafsi kisha wafanyakazi wote kustaafishwa.

Serikali ya misingi ya haki na sheria ikiwastaafisha hao watumishi lazima iwalipe stahiki zao zote la sivyo ni vurugu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…