BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
Basi nakuruhusu nenda kambembeleze Amyner, akikuacha nitapata shida mie, nani atakufulia na kukupikia?
Maana hapa kwangu matumizi tu,
shughuli nyingine kwake.....
Maana hapa kwangu matumizi tu,
shughuli nyingine kwake.....
Mh hapa unazidi kuharibu
Last edited by a moderator: