Its officially OVER Erick!

Mh aisee nimepoteza kweli...
Smiling Saint mdogo wangu im so comfused..shem wako analia hapa...let us talk PM then ntakupigia later

me hapa cjaelewa kidogo:kwa upeo wangu mdogo sidhan kama am with my bf crying bcoz of his mistakes hafu at the same time yey anasign in jf na kuendelea na chatings zake:coz me cwez et naongea na wew ili kuweka our relationship sawa then wew unachukua cjui laptop au simu na kupm watu lyk me kisiki crying for you:Erick why dont u solve hiyo ishu na amyner then uturudie sisi huku ukiwa na raha zote za kusamehewa na amyner..
 
Last edited by a moderator:
Mh aisee nimepoteza kweli...
Smiling Saint mdogo wangu im so comfused..shem wako analia hapa...let us talk PM then ntakupigia later

me hapa cjaelewa kidogo:kwa upeo wangu mdogo sidhan kama am with my bf crying bcoz of his mistakes hafu at the same time yey anasign in jf na kuendelea na chatings zake:coz me cwez et naongea na wew ili kuweka our relationship sawa then wew unachukua cjui laptop au simu na kupm watu lyk me kisiki crying for you:Erick why dont u solve hiyo ishu na amyner then uturudie sisi huku ukiwa na raha zote za kusamehewa na amyner..
 
Last edited by a moderator:
Simple tu....
Amyner atishia kumtaliki Erickb52, BADILI TABIA ashangikia talaka hiyo ili ammiliki kihalali b52 badala ya kuibaiba kama walivyokuwa wanafanya.......



Hivi hapa kuna nini KInaendelea wajameni? Kama kuna mmojawenu anaweza kujitolea akaniambia kwa ufasaha....maana nina machungu Twiga jana wametolewa, leo sijui Taifa stars wametolewa,

sasa hapa...whats wrong Erickb52, Amyner, The secretary, Bishanga, Smiling Saint, BADILI TABIA, Mamndenyi, Remmy, Judgement, The Boss (sijui anafanyaje hapa) Qt B na wengineo!
 
Last edited by a moderator:
bibiee, kidole na jicho.

Inahusu nini???

Ina maana wote wanaosaidia omba omba wanawaoa?

Boss kampa amyner kama msamaria tu kumpoza machungu, atie timu kwangu anamnywesha sumu aloo

amyner kaa na mumeo, unadhani ndoa mchezo?

Mie hapa nilichitiwa hadi na visungura lakini sikuondoka, sasa hivi kazeeka twala vyetu

hivi huyu amyner alifundwa kweli?

Mnalo!

analia nini wakati theboss kamletea
cheni ya gold kumpooza uchungu????
 
Last edited by a moderator:
Heheheiiiiyaaa, imekula kwako bibie....
Alokwambia ukishinda jikoni kumpikia ndo utamchanganya The Boss nani?

Haya sasa wakati wewe unaota sugu kwa kusugua makoti na masufuria Amyner katulizwa, na mkufu mpyaaaa wa gold kanunuliwa.... Hapo unamuona katulia kaahidiwa spacio g-edition......

Gangamala amyner anakuovateki sasa hivi....



bibiee, kidole na jicho.

Inahusu nini???

Ina maana wote wanaosaidia omba omba wanawaoa?

Boss kampa amyner kama msamaria tu kumpoza machungu, atie timu kwangu anamnywesha sumu aloo

amyner kaa na mumeo, unadhani ndoa mchezo?

Mie hapa nilichitiwa hadi na visungura lakini sikuondoka, sasa hivi kazeeka twala vyetu

hivi huyu amyner alifundwa kweli?

Mnalo!
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha

amyner atakuwa anaota, mkufu wa zahabu kwa boss ni gesture ndogo sana.

Nimedhani kapewa nyumba mikocheni, kumbe kimkufu lol

shamba boy anaendesha Harrier, so sishangai saaana.

Huyu mtoto mdogo kuucheza mziki wangu, hivi anajua hata vibration ya kalio moja huyu?

Kwanza naskia Erick kamtema sababu hajui kuoga, he he he he nisije sema mengi lol


Heheheiiiiyaaa, imekula kwako bibie....
Alokwambia ukishinda jikoni kumpikia ndo utamchanganya The Boss nani?

Haya sasa wakati wewe unaota sugu kwa kusugua makoti na masufuria Amyner katulizwa, na mkufu mpyaaaa wa gold kanunuliwa.... Hapo unamuona katulia kaahidiwa spacio g-edition......

Gangamala amyner anakuovateki sasa hivi....
 
Last edited by a moderator:
hahaha,
kuwa makini, anajidekesha kumbe anajua atabembelezwa, kwanza The Boss kesharudi nyumbani leo? Alimwahidi mtoko hyatt!

Kuwa macho shosti, usije kusema hajui kuoga then the boss akaenda kumfundisha kuoga. . .



↲
ha ha ha

amyner atakuwa anaota, mkufu wa zahabu kwa boss ni gesture ndogo sana.

Nimedhani kapewa nyumba mikocheni, kumbe kimkufu lol

shamba boy anaendesha Harrier, so sishangai saaana.

Huyu mtoto mdogo kuucheza mziki wangu, hivi anajua hata vibration ya kalio moja huyu?

Kwanza naskia Erick kamtema sababu hajui kuoga, he he he he nisije sema mengi lol
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom