Its officially OVER Erick!


Kaizer.. Inshort i have been deceived..so bad. Naomba umwambie Sis Adi ntaenda ofisini kwake kesho.. I truly need a loving sister's shoulder to cry on right now.
 
Last edited by a moderator:
polee Amyner

nakuelewa sana.

Yangu hapa tu yananishinda wala usihofu konnie, The Boss was only trying to comfort me..
He's caring. Unlike other "guys" i know. You are lucky to have him!
 
Last edited by a moderator:

Mkubwa, Kaizer nimeona ulichohitaji kujulishwa, kimefanyika umejulishwa.
The rest tunahitaji busara na hekma zako kuirejesha hii mineno (sintofahamu) irudi kwenye box lake na makaratasi yake ya upya.
 
Last edited by a moderator:
Mpita njia mpita njia, asante yake mateke kwako hatokaa milele! Mpita njia mpita njiiiiaa.....kesho atapata mwingine amuage alivyokuaga! Mpita njia.....jaman I've just remembered the song, it may contain nothing to confer to the content of the uzi and the victim in question! I'll be back later.....
 

Kipipi naomba uongee na Amyner aache hasira please
 
Last edited by a moderator:
Thanks konnie, Mwenzio nina majonzi yangu ndo maana nakesha, haya na wewe kinachokuweka macho mpaka sasa ni nini mwanamke?
Bby...
Pole sn najua mi ndo sababu ila relux im your man forever
 
Kwa kifupi ni hivi:
Erick na amyner ni wapenzi.
Erick kwa ulafi wake na Amyner bila kujua kujua kaamua kufanya uzanga,leo ndo Amyner kagundua...kasheshe Amyner hataki kusikia cha mtoa adhana wala mwongoza swala!

Bishanga acha kumjaza uongo Kaizer si tupo wahusika we kiherehere cha nini?
Hayo ni mambo ya ndani huwezi jua yote
 
Last edited by a moderator:
Mkubwa, Kaizer nimeona ulichohitaji kujulishwa, kimefanyika umejulishwa.
The rest tunahitaji busara na hekma zako kuirejesha hii mineno (sintofahamu) irudi kwenye box lake na makaratasi yake ya upya.

Judgement umenena vema..
Mambo yanaenda poa ingawa tumechelewa kulala leo mh
Usiombe yakukute...
 
Last edited by a moderator:

Qt B
Usijali mambo yako sawa
 
Last edited by a moderator:
owkey Bishanga,nimeelewa..nice chit chat..lkn mmh yataka ustahimilivu kwa tusojua utani kama mie..

Mh Qt B ni km hatujalala...
Mapenzi matamu na kulikosa penzi la Amyner ni pigo kubwa sana kwangu
 
Last edited by a moderator:
...hapa nikitia neno KESI inaweza ikanigeukia...
cha msingi shem Amyner kama una uthibitisho na ilo...achia ngazi bibie...kuna watu wanakusubiria ati!
braza Erickb52 na wewe zile dawa ulizokunywa zinakupelekesha...hukaukiwiii!!KIU kila uchao!
 
Last edited by a moderator:
Kaizer.. Inshort i have been deceived..so bad. Naomba umwambie Sis Adi ntaenda ofisini kwake kesho.. I truly need a loving sister's shoulder to cry on right now.

Asha mbona haonekani siku hizi? Nani kamficha?
 
Last edited by a moderator:

Za siku kipipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…