PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Members!
Kwa heshima na taadhima, na kwa niaba ya familia ya Member maarufu wa jukwaa hili, Geoff, nawatangazia kwamba huyu mwenzetu anaoa 13/02/2010 huko Iringa...(msiniulize shemeji ni wa wapi..lol!)!
Mjasiriamali huyu anaomba michango yenu ya hali na mali, na kama tujuavyo sote uanaharakati wetu utaonekana kuwa wa Nguvu zaidi tukiweza kusaidiana sisi kwa sisi physically.."CHARITY BEGINS HOME"!
Kwa details zaidi(a/c number, M-Pesa, ZAP etc), m-PM yeye mwwenyewe, na hadi hivi sasa hali ya michango bado hairidhishi, very few JFers have responded...!
SHIME JF PALS, BRODAs, LEGENDs, SISTOs, BUDDIEs...LETS JOIN HANDS AND BE ONE!
ITS NOW OR NEVER...!
Kwa heshima na taadhima, na kwa niaba ya familia ya Member maarufu wa jukwaa hili, Geoff, nawatangazia kwamba huyu mwenzetu anaoa 13/02/2010 huko Iringa...(msiniulize shemeji ni wa wapi..lol!)!
Mjasiriamali huyu anaomba michango yenu ya hali na mali, na kama tujuavyo sote uanaharakati wetu utaonekana kuwa wa Nguvu zaidi tukiweza kusaidiana sisi kwa sisi physically.."CHARITY BEGINS HOME"!
Kwa details zaidi(a/c number, M-Pesa, ZAP etc), m-PM yeye mwwenyewe, na hadi hivi sasa hali ya michango bado hairidhishi, very few JFers have responded...!
SHIME JF PALS, BRODAs, LEGENDs, SISTOs, BUDDIEs...LETS JOIN HANDS AND BE ONE!
ITS NOW OR NEVER...!