Rais na Mwenyekiti wangu Dkt. John Magufuli, it is now or never!

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
Wazungu wana msemo wao: "courtesy begins at home". Yaani, kama una la kufanya, anzia nyumbani. Kama ni kusafisha na kuonesha kuwa unakerwa au kufurahishwa na jambo fulani, pakuanzia pawe nyumbani. Hakuna haja ya kugawa mema kwingineko halafu uparuke nyumbani. Nyumbani kwanza. CCM kwanza, kwingine baadaye.

Rais na Mwenyekiti wangu, Dr. Bashiru Ally na timu yake wameshakukabidhi Ripoti juu ya Mali za chama chetu cha Mapinduzi (CCM). Si siri tena kuwa kwenye Ripoti hiyo kumeanikwa ubadhirifu na ufisadi mkubwa. Kuna 'mchwa' wa kutosha na kutisha. Wameanikwa watu, taasisi na makampuni yanayotafuna mali za CCM.

Ripoti ya timu ya Dr. Bashiru Ally imeanika hali halisi chamani. Imeanika hali halisi nchini. Kutamalaki kwa rushwa, ubadhirifu na ufisadi. Kutamalaki kwa wanaofaidi keki ya chama na taifa kwa ujumla huku wengine wakishindia embe mbichi na maji. Kutamalaki kwa wezi na wanaoiona Tanzania kama nchi yako binafsi. Kutamalaki kwa wanaojichora kama kila kitu.

Muda sasa umefika. Muda sasa umewadia. Wa kushughulikiwa. Wa kuambiwa kwa maneno na matendo kuwa wao si lolote wala chochote chamani na serikalini. Kuambiwa kwa sauti kali na matendo yenye maumivu kwao kuwa wao si wamiliki wa chama wala serikali. Waambiwe kuwa wao si wajanja kuliko sisi sote wengine. Kwa matendo.

Rais na Mwenyekiti wangu, najua uliingia madarakani kwa sera ya kupambana na kutokomeza rushwa, ubadhirifu na ufisadi. Kutokomeza 'majizi'. Fanya hivyo sasa. Washughulikie hao wetu kwanza. Onesha mfano kwa hao. Wakabidhi kwa vyombo vya usalama; wapelelezwe; washtakiwe na wafungwe. Kuwaadhibu kichama tu haitoshi. Wizi ni jinai. Si jambo la kisiasa.

It is now or never!

Makongoro Nyerere hakuomba vyeo anavyomiminiwa sasa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwa sasa Buyungu, Kigoma)
 
Wazungu wana msemo wao: "courtesy begins at home". Yaani, kama una la kufanya, anzia nyumbani. Kama ni kusafisha na kuonesha kuwa unakerwa au kufurahishwa na jambo fulani, pakuanzia pawe nyumbani. Hakuna haja ya kugawa mema kwingineko halafu uparuke nyumbani. Nyumbani kwanza. CCM kwanza, kwingine baadaye.

Rais na Mwenyekiti wangu, Dr. Bashiru Ally na timu yake wameshakukabidhi Ripoti juu ya Mali za chama chetu cha Mapinduzi (CCM). Si siri tena kuwa kwenye Ripoti hiyo kumeanikwa ubadhirifu na ufisadi mkubwa. Kuna 'mchwa' wa kutosha na kutisha. Wameanikwa watu, taasisi na makampuni yanayotafuna mali za CCM.

Ripoti ya timu ya Dr. Bashiru Ally imeanika hali halisi chamani. Imeanika hali halisi nchini. Kutamalaki kwa rushwa, ubadhirifu na ufisadi. Kutamalaki kwa wanaofaidi keki ya chama na taifa kwa ujumla huku wengine wakishindia embe mbichi na maji. Kutamalaki kwa wezi na wanaoiona Tanzania kama nchi yako binafsi. Kutamalaki kwa wanaojichora kama kila kitu.

Muda sasa umefika. Muda sasa umewadia. Wa kushughulikiwa. Wa kuambiwa kwa maneno na matendo kuwa wao si lolote wala chochote chamani na serikalini. Kuambiwa kwa sauti kali na matendo yenye maumivu kwao kuwa wao si wamiliki wa chama wala serikali. Waambiwe kuwa wao si wajanja kuliko sisi sote wengine. Kwa matendo.

Rais na Mwenyekiti wangu, najua uliingia madarakani kwa sera ya kupambana na kutokomeza rushwa, ubadhirifu na ufisadi. Kutokomeza 'majizi'. Fanya hivyo sasa. Washughulikie hao wetu kwanza. Onesha mfano kwa hao. Wakabidhi kwa vyombo vya usalama; wapelelezwe; washtakiwe na wafungwe. Kuwaadhibu kichama tu haitoshi. Wizi ni jinai. Si jambo la kisiasa.

It is now or never!

Makongoro Nyerere hakuomba vyeo anavyomiminiwa sasa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Buyungu, Kigoma)
Jana nilimwona Rais alivyokuwa akiongea, kwa wataalamu wa body language, inaonyesha kuondoa ufisadi kwenye chama ni jambo lisilowezekana. Wengi wa anao waamini ndio hao hao anaotakiwa awashugulikie. Kamwe hataweza kulifungua 'PANDORA BOX'
 
Wazungu wana msemo wao: "courtesy begins at home". Yaani, kama una la kufanya, anzia nyumbani. Kama ni kusafisha na kuonesha kuwa unakerwa au kufurahishwa na jambo fulani, pakuanzia pawe nyumbani. Hakuna haja ya kugawa mema kwingineko halafu uparuke nyumbani. Nyumbani kwanza. CCM kwanza, kwingine baadaye.

Rais na Mwenyekiti wangu, Dr. Bashiru Ally na timu yake wameshakukabidhi Ripoti juu ya Mali za chama chetu cha Mapinduzi (CCM). Si siri tena kuwa kwenye Ripoti hiyo kumeanikwa ubadhirifu na ufisadi mkubwa. Kuna 'mchwa' wa kutosha na kutisha. Wameanikwa watu, taasisi na makampuni yanayotafuna mali za CCM.

Ripoti ya timu ya Dr. Bashiru Ally imeanika hali halisi chamani. Imeanika hali halisi nchini. Kutamalaki kwa rushwa, ubadhirifu na ufisadi. Kutamalaki kwa wanaofaidi keki ya chama na taifa kwa ujumla huku wengine wakishindia embe mbichi na maji. Kutamalaki kwa wezi na wanaoiona Tanzania kama nchi yako binafsi. Kutamalaki kwa wanaojichora kama kila kitu.

Muda sasa umefika. Muda sasa umewadia. Wa kushughulikiwa. Wa kuambiwa kwa maneno na matendo kuwa wao si lolote wala chochote chamani na serikalini. Kuambiwa kwa sauti kali na matendo yenye maumivu kwao kuwa wao si wamiliki wa chama wala serikali. Waambiwe kuwa wao si wajanja kuliko sisi sote wengine. Kwa matendo.

Rais na Mwenyekiti wangu, najua uliingia madarakani kwa sera ya kupambana na kutokomeza rushwa, ubadhirifu na ufisadi. Kutokomeza 'majizi'. Fanya hivyo sasa. Washughulikie hao wetu kwanza. Onesha mfano kwa hao. Wakabidhi kwa vyombo vya usalama; wapelelezwe; washtakiwe na wafungwe. Kuwaadhibu kichama tu haitoshi. Wizi ni jinai. Si jambo la kisiasa.

It is now or never!

Makongoro Nyerere hakuomba vyeo anavyomiminiwa sasa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Buyungu, Kigoma)

Hayo ndio DNA ya chama! Naye atakuwa na vinasaba, hivyo akipuliza dumuzi vibaya na yeye hayuko salama!
 
Akimaliza hilo aunde na tume ya kuchunguza waliouza nyumba za serikali zaidi ya nyumba 3000 na zikiwa maeneo ya uzunguni!!!

Kwenye hilo ni ghiriba tu kwani FISIEMU hakuna aliyemsafi!!!

Kikubwa itakuwa ni kumteua Katibu Mkuu mpya ambae ni Makongoro!!!

Huuzaji Nyumba za serikali hazihitaji Tume
 
VUTA-NKUVUTE bila ya ufisadi, rushwa, upendeleo,wizi, ama ukandamizaji, hakuna chama kinachoitwa CCM!
Very True.

Kwenye hii report ya ufujaji wa mali za chama lipo jina la Kassim Majaliwa.

Yeye aliuziwa Shule kinyemela iliyokuwa inamilikiwa na Jumuiya ya Wazazi ya CCM huko Lindi na hiyo shule ameiweka mmiliki ni mkewe Mary Majaliwa..!!

Hakuna msafi CCM.

Hata usiowatarajia ni majizi pia.
 
Kwa ccm hakuna aliesalama kwwnye issue ya dokoa dokoa hata wenye viti wa mitaa nao ni panya walewale tu..hata wewe mzee tupatupa kama ulishawahi kushika nafasi yoyote ccm haupo salama..kuna mtu aliamini polepole angekuja kubadilika?
 
Wazungu wana msemo wao: "courtesy begins at home". Yaani, kama una la kufanya, anzia nyumbani. Kama ni kusafisha na kuonesha kuwa unakerwa au kufurahishwa na jambo fulani, pakuanzia pawe nyumbani. Hakuna haja ya kugawa mema kwingineko halafu uparuke nyumbani. Nyumbani kwanza. CCM kwanza, kwingine baadaye.

Rais na Mwenyekiti wangu, Dr. Bashiru Ally na timu yake wameshakukabidhi Ripoti juu ya Mali za chama chetu cha Mapinduzi (CCM). Si siri tena kuwa kwenye Ripoti hiyo kumeanikwa ubadhirifu na ufisadi mkubwa. Kuna 'mchwa' wa kutosha na kutisha. Wameanikwa watu, taasisi na makampuni yanayotafuna mali za CCM.

Ripoti ya timu ya Dr. Bashiru Ally imeanika hali halisi chamani. Imeanika hali halisi nchini. Kutamalaki kwa rushwa, ubadhirifu na ufisadi. Kutamalaki kwa wanaofaidi keki ya chama na taifa kwa ujumla huku wengine wakishindia embe mbichi na maji. Kutamalaki kwa wezi na wanaoiona Tanzania kama nchi yako binafsi. Kutamalaki kwa wanaojichora kama kila kitu.

Muda sasa umefika. Muda sasa umewadia. Wa kushughulikiwa. Wa kuambiwa kwa maneno na matendo kuwa wao si lolote wala chochote chamani na serikalini. Kuambiwa kwa sauti kali na matendo yenye maumivu kwao kuwa wao si wamiliki wa chama wala serikali. Waambiwe kuwa wao si wajanja kuliko sisi sote wengine. Kwa matendo.

Rais na Mwenyekiti wangu, najua uliingia madarakani kwa sera ya kupambana na kutokomeza rushwa, ubadhirifu na ufisadi. Kutokomeza 'majizi'. Fanya hivyo sasa. Washughulikie hao wetu kwanza. Onesha mfano kwa hao. Wakabidhi kwa vyombo vya usalama; wapelelezwe; washtakiwe na wafungwe. Kuwaadhibu kichama tu haitoshi. Wizi ni jinai. Si jambo la kisiasa.

It is now or never!

Makongoro Nyerere hakuomba vyeo anavyomiminiwa sasa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwa sasa Buyungu, Kigoma)


Vipi Ufisadi huko kwenu chadema? Tunataka pia ripoti ya mali za chadema mlizoiba tangia kuanzishwa kwake, na mnaendelea kuiba wewe pamoja na Mwenyekiti wenu asiye na ukomo!
 
Wazungu wana msemo wao: "courtesy begins at home". Yaani, kama una la kufanya, anzia nyumbani. Kama ni kusafisha na kuonesha kuwa unakerwa au kufurahishwa na jambo fulani, pakuanzia pawe nyumbani. Hakuna haja ya kugawa mema kwingineko halafu uparuke nyumbani. Nyumbani kwanza. CCM kwanza, kwingine baadaye.

Rais na Mwenyekiti wangu, Dr. Bashiru Ally na timu yake wameshakukabidhi Ripoti juu ya Mali za chama chetu cha Mapinduzi (CCM). Si siri tena kuwa kwenye Ripoti hiyo kumeanikwa ubadhirifu na ufisadi mkubwa. Kuna 'mchwa' wa kutosha na kutisha. Wameanikwa watu, taasisi na makampuni yanayotafuna mali za CCM.

Ripoti ya timu ya Dr. Bashiru Ally imeanika hali halisi chamani. Imeanika hali halisi nchini. Kutamalaki kwa rushwa, ubadhirifu na ufisadi. Kutamalaki kwa wanaofaidi keki ya chama na taifa kwa ujumla huku wengine wakishindia embe mbichi na maji. Kutamalaki kwa wezi na wanaoiona Tanzania kama nchi yako binafsi. Kutamalaki kwa wanaojichora kama kila kitu.

Muda sasa umefika. Muda sasa umewadia. Wa kushughulikiwa. Wa kuambiwa kwa maneno na matendo kuwa wao si lolote wala chochote chamani na serikalini. Kuambiwa kwa sauti kali na matendo yenye maumivu kwao kuwa wao si wamiliki wa chama wala serikali. Waambiwe kuwa wao si wajanja kuliko sisi sote wengine. Kwa matendo.

Rais na Mwenyekiti wangu, najua uliingia madarakani kwa sera ya kupambana na kutokomeza rushwa, ubadhirifu na ufisadi. Kutokomeza 'majizi'. Fanya hivyo sasa. Washughulikie hao wetu kwanza. Onesha mfano kwa hao. Wakabidhi kwa vyombo vya usalama; wapelelezwe; washtakiwe na wafungwe. Kuwaadhibu kichama tu haitoshi. Wizi ni jinai. Si jambo la kisiasa.

It is now or never!

Makongoro Nyerere hakuomba vyeo anavyomiminiwa sasa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwa sasa Buyungu, Kigoma)
kwa ccm ndugu yangu hilo ualosema haliwezi kutokea,maana hata huyo sio msafi
 
Wazungu wana msemo wao: "courtesy begins at home". Yaani, kama una la kufanya, anzia nyumbani. Kama ni kusafisha na kuonesha kuwa unakerwa au kufurahishwa na jambo fulani, pakuanzia pawe nyumbani. Hakuna haja ya kugawa mema kwingineko halafu uparuke nyumbani. Nyumbani kwanza. CCM kwanza, kwingine baadaye.

Rais na Mwenyekiti wangu, Dr. Bashiru Ally na timu yake wameshakukabidhi Ripoti juu ya Mali za chama chetu cha Mapinduzi (CCM). Si siri tena kuwa kwenye Ripoti hiyo kumeanikwa ubadhirifu na ufisadi mkubwa. Kuna 'mchwa' wa kutosha na kutisha. Wameanikwa watu, taasisi na makampuni yanayotafuna mali za CCM.

Ripoti ya timu ya Dr. Bashiru Ally imeanika hali halisi chamani. Imeanika hali halisi nchini. Kutamalaki kwa rushwa, ubadhirifu na ufisadi. Kutamalaki kwa wanaofaidi keki ya chama na taifa kwa ujumla huku wengine wakishindia embe mbichi na maji. Kutamalaki kwa wezi na wanaoiona Tanzania kama nchi yako binafsi. Kutamalaki kwa wanaojichora kama kila kitu.

Muda sasa umefika. Muda sasa umewadia. Wa kushughulikiwa. Wa kuambiwa kwa maneno na matendo kuwa wao si lolote wala chochote chamani na serikalini. Kuambiwa kwa sauti kali na matendo yenye maumivu kwao kuwa wao si wamiliki wa chama wala serikali. Waambiwe kuwa wao si wajanja kuliko sisi sote wengine. Kwa matendo.

Rais na Mwenyekiti wangu, najua uliingia madarakani kwa sera ya kupambana na kutokomeza rushwa, ubadhirifu na ufisadi. Kutokomeza 'majizi'. Fanya hivyo sasa. Washughulikie hao wetu kwanza. Onesha mfano kwa hao. Wakabidhi kwa vyombo vya usalama; wapelelezwe; washtakiwe na wafungwe. Kuwaadhibu kichama tu haitoshi. Wizi ni jinai. Si jambo la kisiasa.

It is now or never!

Makongoro Nyerere hakuomba vyeo anavyomiminiwa sasa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwa sasa Buyungu, Kigoma)
It is never, hakuna mtu hapo ws kushughulikia hayo
 
Very True.

Kwenye hii report ya ufujaji wa mali za chama lipo jina la Kassim Majaliwa.

Yeye aliuziwa Shule kinyemela iliyokuwa inamilikiwa na Jumuiya ya Wazazi ya CCM huko Lindi na hiyo shule ameiweka mmiliki ni mkewe Mary Majaliwa..!!

Hakuna msafi CCM.

Hata usiowatarajia ni majizi pia.
Ccm huwezi kuipenda wala kuitumikia kama wewe sio mwizi, mchawi, roho mbaya, mbinafsi, fisadi, mchumia tumbo.
 
Wazungu wana msemo wao: "courtesy begins at home". Yaani, kama una la kufanya, anzia nyumbani. Kama ni kusafisha na kuonesha kuwa unakerwa au kufurahishwa na jambo fulani, pakuanzia pawe nyumbani. Hakuna haja ya kugawa mema kwingineko halafu uparuke nyumbani. Nyumbani kwanza. CCM kwanza, kwingine baadaye.

Rais na Mwenyekiti wangu, Dr. Bashiru Ally na timu yake wameshakukabidhi Ripoti juu ya Mali za chama chetu cha Mapinduzi (CCM). Si siri tena kuwa kwenye Ripoti hiyo kumeanikwa ubadhirifu na ufisadi mkubwa. Kuna 'mchwa' wa kutosha na kutisha. Wameanikwa watu, taasisi na makampuni yanayotafuna mali za CCM.

Ripoti ya timu ya Dr. Bashiru Ally imeanika hali halisi chamani. Imeanika hali halisi nchini. Kutamalaki kwa rushwa, ubadhirifu na ufisadi. Kutamalaki kwa wanaofaidi keki ya chama na taifa kwa ujumla huku wengine wakishindia embe mbichi na maji. Kutamalaki kwa wezi na wanaoiona Tanzania kama nchi yako binafsi. Kutamalaki kwa wanaojichora kama kila kitu.

Muda sasa umefika. Muda sasa umewadia. Wa kushughulikiwa. Wa kuambiwa kwa maneno na matendo kuwa wao si lolote wala chochote chamani na serikalini. Kuambiwa kwa sauti kali na matendo yenye maumivu kwao kuwa wao si wamiliki wa chama wala serikali. Waambiwe kuwa wao si wajanja kuliko sisi sote wengine. Kwa matendo.

Rais na Mwenyekiti wangu, najua uliingia madarakani kwa sera ya kupambana na kutokomeza rushwa, ubadhirifu na ufisadi. Kutokomeza 'majizi'. Fanya hivyo sasa. Washughulikie hao wetu kwanza. Onesha mfano kwa hao. Wakabidhi kwa vyombo vya usalama; wapelelezwe; washtakiwe na wafungwe. Kuwaadhibu kichama tu haitoshi. Wizi ni jinai. Si jambo la kisiasa.

It is now or never!

Makongoro Nyerere hakuomba vyeo anavyomiminiwa sasa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwa sasa Buyungu, Kigoma)
Huko Buyungu hujamuona Kafulila akivinjari vinjari?
 
Back
Top Bottom