My prayers, dreams and wishes are to get mchumba and Mume at JF naamini nitafanikiwa especially those funny and cute guys wa jukwaa letu lileee. Kuna mmoja tulielewana sana kirafiki kukutana nikamwona anapete ikawa ndio hivyo tena. Sijakata tamaa nikipata mume hapa nitafurahi nitabadili ID nitaweka jina langu halisi. Ukiniuliza sababu sina nimapendekezo yangu tu na nayaheshimu.
My prayers, dreams and wishes are to get mchumba and Mume at JF naamini nitafanikiwa especially those funny and cute guys wa jukwaa letu lileee. Kuna mmoja tulielewana sana kirafiki kukutana nikamwona anapete ikawa ndio hivyo tena. Sijakata tamaa nikipata mume hapa nitafurahi nitabadili ID nitaweka jina langu halisi. Ukiniuliza sababu sina nimapendekezo yangu tu na nayaheshimu.