Its my birthday today!

Gagurito

JF-Expert Member
Feb 11, 2011
5,600
803
Jamani mwenzeni leo ni birthday/siku yangu ya kuzaliwa. Nashukuru kwa kuwa nami karibu, kwa ushauri na mafunzo mengi mnipatiayo kupitia Jamvi letu hili. Nafurahi sana kwa ukaribu na ukarimu wenu kwangu na kwa member wengine wote. Tumwombe Mungu atujalie uzima, afya njema na maisha marefu, Naimani michango yetu itatujenga na kutuboresha zaid. Nawapenda sana ndugu zangu!
 
Happy Birthday Gagurito...
Mungua kubariki upate maisha marefu yaliyojaa baraka tele...
 
ushauri wa nini wakati muda huu unatakiwa ulale siumeshaoga au bado..

HAPPY BIRTHDAY MKUU GUGARITO..
 
Happy Birthday Gagurito! Mungu akupe miaka mingi ya baraka tele na amani.

Sasa ulikuwa tangu asubuhi.............sherehe tutaandaa saa ngapi sasa???!!!
 
Happy Birthday Gagurito! Mungu akupe miaka mingi ya baraka tele na amani.
Sasa ulikuwa tangu asubuhi.............sherehe tutaandaa saa ngapi sasa???!!!
Mama kanipigia simu kanambia shughuri ya labour ilikua ni saa 9 mchana, party mida ya saa 1 jion, place mtajulishwa. Hahahaha!
 
jamani mwenzeni leo ni birthday/siku yangu ya kuzaliwa. Nashukuru kwa kuwa nami karibu, kwa ushauri na mafunzo mengi mnipatiayo kupitia jamvi letu hili. Nafurahi sana kwa ukaribu na ukarimu wenu kwangu na kwa member wengine wote. Tumwombe mungu atujalie uzima, afya njema na maisha marefu, naimani michango yetu itatujenga na kutuboresha zaid. Nawapenda sana ndugu zangu!

hapi basdei gu
 
<font size="3">Hongera Gagu............Mungu akuongezee miaka mingi ya amani furaha afya na upendo </font>

Amani na afya ni mambo yanipayo furaha na raha ya kuishi. Nimefurahi kwa wishes zako. Asante sana rafiki!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom